Hasara za kuwa mchepuko

Hasara za kuwa mchepuko

wenzio hawakalii hayo nduguu...

ya kwao yanaenda..!!

tunajipaga moyo tu eti ni mke, mke aende atarudi halafu...!!

cha msingi wanaume waache kuchepuka!
 
How are you neeeeeeeeeeeeee...
Bila shaka suala la KUCHEPUKA limekuwa tatazo sugu kwa wana ndoa.Ewe mchepukaji zijue hasara pengine utamtafuta wakwako wa halali.

1. Huna mamlaka na mwenza huyo
2. Huwezi post picha yake kwenye mitandao

3. Huna utambulisho rasmi i mean unamtambulisha nani wako.

4. Hutambuliki kidini wala kiserikali hivyo sheria zote zipo kwake hata akifa huwezi jitokeza, hata Kama ulimuwezesha kiuchumi akatajirika hupati urithi.

5. Ukizaa nae mtoto Hana identity ulazimishe tu.

6. Huna haki yoyote anaweza akakupa gari kadi akawa nayo siku akiamua anakunyang'anya mbele za watu.
Anaweza kikupangishia au kukupa nyumba yake ukae akiamua anakufukuza Kama mbwa Kala mayai.

7. Huwezi kuwa na Uhuru nae anaweza kuwa katikati ya mechi akapigiwa cm na mkewe akavaa na kutoka mbio.

8. Masharti mengi anakupangia muda wa cm, hataki marafiki wajae alipokuweka, wivu sasa utadhani hata Kama kwenu wanamjua.

9. Akikufia ndani utaisaidia polisi

10. Huna hadhi hata Kama mzuri kushinda mkewe, umpe mapenzi yote bado we choo cha public tu anaingia kwa dharura hata kiwe kizuri namna gani lakini havunji choo chake cha nyumbani.

Mchepu amka utaishi gizani mpaka lini Kama dini inaruhusu mwambie akuweke kwenye nuru ama hataki subiri atakuja wa kwako naamini ukijituliza wapo tele ndege wetu hawa.

Kuliko kuishi na MTU anakuzibia riziki ya kumpata mwenza wako nawe hata mkila ugali na dagaa LA kuchoma mnalia uwanjani kuliko kuku wa kulia uvunguni.

Anakuzeesha hata walokuwa wanakumezea mate watakuona wa nini.
Acha kuwa spair tyre unaweza ishi bila yeye.

Hakuna binadamu wa nyongeza
Jishughulishe kutafuta riziki, sali na omba Mungu anamsikiza kila aliyemuumba.

Mkuu Nauheshimu mtazamo wako kuhusu hii mada, ili tutende haki unaweza kututajia faida chache za kuchepuka / kuwa mchepuko? Sidhani kama wachepukaji wote hawayajui haya uliyosema na ni lazima wana sababu za kuchepuka!
 
Hao michepuko kwa kupenda vya bure mwishowe wanabaki single mothers baadae wanaanza kutafuta wa kuwaoa, nan aoe mtu alikuwa anatembea na ME sawa na baba yake si Laana hiyo. Muda wa kuolewa wanang'ang'ana na wazee wakishafika 30+ wanaanza kutafuta vijana. AIBU YAO
 
Yote ni maisha... Hawawez olewa wote jameni!kila mtu ana changamoto yake ktk maisha
 
Maisha hayana formular, ukishajijua kuwa umekubali kuwa mchepuko kwanza jiulize kwanini uwe mchepuko, umeona kuna manufaa utakayo ya pata kwa kufanya hivyo, miezi sita hakuna mabadiliko jiondoe.
 
Maisha hayana formular, ukishajijua kuwa umekubali kuwa mchepuko kwanza jiulize kwanini uwe mchepuko, umeona kuna manufaa utakayo ya pata kwa kufanya hivyo, miezi sita hakuna mabadiliko jiondoe.
Maisha yana formula, but we've neglected the rules...ndio maana tunajipa moyo kuwa hakuna formula katika kuishi...
 
Mbona bi mdogo wa machache anakula raha kwa uhuru tele miradi anayo watoto ndo hao na bonge la nyumba kajengewa, washauri wakiwa na waume za watu waangalie ana upendo kweli ampe miradi yake nyumba ya jina lake na asiwe bahiri, na wanawake wakiolewa wasibweteke kisa pete na karatasi eti ndoa hawezi kuniacha, kamuulize mke wa mchungaji lusekelo
Mengi
 
Hahahahahahaahahahah aseee ni ukweli mtupu na inaumaje ? ila sasa kale kabint kweli unazani nirahis kwa haya maneno yako ya reja reja mimi niamue nimuache aende zake ? hapana umetupa jiwe gizan nakiri limenipata ila simwachi wife nampenda na kabinti nakapenda flan sio sana sijui kameniloga sijui na sijui picha litaishaje
Paulo Sergio De Souz sijaelewa. Miss ndo mchepuko au?
 
Ni bora hata kuishi mwenyewe kuliko kuwa mchepuko...
 
Teh,teh,,,
Maneno kuntu, ila hyo namba 5 ndo inawaumizaga michep vichwa.
 
Back
Top Bottom