Hasara za kutumika

Hasara za kutumika

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
359,888
Reaction score
828,474
Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam imeanza kuchukua hatua za kuwaondoa wafanyabiashara wanaofanya shughuli zao katika maeneo yasiyo rasmi, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa maagizo yaliyotolewa na Mkuu wa Mkoa, Albert Chalamila, wakati wa ufunguzi wa Soko Kuu la Kariakoo.

Akizungumza katika hafla hiyo, RC alisema kuwa ingawa hatua hiyo inaweza kuonekana kuwa ngumu au chungu kwa baadhi ya wafanyabiashara, ni muhimu kulinda mpangilio wa jiji na kuhakikisha barabara zinabaki wazi. Alisisitiza kuwa utekelezaji wake utaendelea kufanywa kwa kutumia diplomasia na maelewano, badala ya nguvu.
1771515129827.jpg
 
Swala la mpangilio wa mji walipaswa kuanza na good urban planning ... Hizi ni athari zinazojitokeza kutokana na mpangilio mibovu ya miji
 
Back
Top Bottom