Hasara za kutojiamini, hizi hapa…..

Mara zote imani huja kwa kusikia...Na imani hujengwa kwa matendo chanya...Nini kifanyike?1. Mara zote yakupasa kujenga mahusiano na watu wenye mawazo chanya (Wenye kutia moyo)2. Epuka kufanya mambo kwa kuiga (be yourself and don't imitate)3. Epuka kuwaza kushindwa (stop being the captive of negativities)4. Jipe nafasi ya kuwa unaweza kwenda mbele5. Jipende6. Jaribu kufanya kama vile idols wako wafanyavyo au kwa kifupi ishi katika ndoto zakoNB: Imani ndio chimbuko la kujiamini

Kikubwa nikujijengea imani kwa yote unayo yaamini na kuyatenda?
 
Post yenye kugusa wengi hii..
Nikipoint out kitu;
1.wazazi wana nafasi kubwa sana kufanya watoto wakue confident
charity begins at home
2.kwenye maisha unaweza kuwa a ladder towards success or successful,usipojiamini mara nyingi utakua a ladder kwa wengine
 
najua kwenye kutafuta hela wengi wanajiamini, ila kwenye mahusiano hapo ndio watu wanapotafuna kucha na kuchimba chini.
la msingi sana kwenye malezi ya watoto wetu kwa kipindi hiki cha utanda wazi kuwalea katika mazingira ya wao kujiamini kwenye kila hali wasije kuwa kama kizazi chetu kilichopita
 
Mie nadhani nina tatizo la kutoelezea shida zangu kwa watu hovyo


Sipendi, siamini kama naweza saidiwa na wengine kuliko navyoweza jisaidia mwenyewe
Labda siblings au mzazi ndio naweza mwambia lakini wengine, hell no
Hata kama nalala njaa nitakunywa uji, kutangaza shida siwezi kabisa
Daaah aisee kati ya vitu vyote mimi ni ngumu kusema ni wakati nina shida siwezi sema..hata siku moja..na sidhani kama nimeshawahi..naamini hakuna anayeweza nisaidia zaidi ya mimi mwenyewe..ingawa..kusema kunafaida...yani nimejitahidi sana nitasema kwa mafumbo lakini sio direct..
 
Ngumu sana kueleza matatizo yako, kumbe tuko wengi

Daaah aisee kati ya vitu vyote mimi ni ngumu kusema ni wakati nina shida siwezi sema..hata siku moja..na sidhani kama nimeshawahi..naamini hakuna anayeweza nisaidia zaidi ya mimi mwenyewe..ingawa..kusema kunafaida...yani nimejitahidi sana nitasema kwa mafumbo lakini sio direct..
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom