Hasara za kutojiamini, hizi hapa…..

Kuna hasara pia za kujiamini kupita kiasi? nadhani kunatakiwa kuwa na balance fulani katika kujiamini. Kutojiamini ni ugonjwa mbaya mno wa akili..nilikuwa nao nilipokuwa nakua na hadi sasa kuna baadhi ya maeneo nahisi sijiamini hasa katika mahusiano ya mapenzi
mimi nadhani kujiamini kupita kiasi ni ugonjwa mkubwa zaidi ya kutokujiamini.....
maana mtu anaweza akafanya kitu nyie huku mnaoangalia mkatamani ardhi ipasuke mjifiche, lakini mwenzenu waalaaa, anadunda tu
 
shem Mtambuzi asante kwa kutuwekea kioo tujiangalie, lol!
hiyo namba 12 inanitesa sana kwa watu wa jirani zangu. Mimi napenda sana utani, yaani mambo mengi out of kazi/shule/ugonjwa/......huwa nayachukulia utani. ingawa sometimes hata ugonjwa huwa natania. Binafsi nikiwa naumwa sipendi mtu aje aniangalie akiwa amekunja sura, hata kama nipo serious namna gani, napenda anitanie nichekeeee, ndo naona napata nafuu.
sasa kuna baadhi ya watu wananitesa sana, sipati angle za kuwatania.... kila nikitania, tayari nimeshanuniwa...... "unaona sababu wewe uko hivi au vile".... na vitu kama hivyo. Inawezekana kweli hawajiamini au? mi sijui bana


watu km ww tupo wachache sana........wakat fulani wanafikiri unajishaua kumbe u just making life better and happy
 
watu km ww tupo wachache sana........wakat fulani wanafikiri unajishaua kumbe u just making life better and happy
kama kuna kitu na-enjoy ni kufanya kila kitu easy......
bahati mbaya tu kazi yangu siwezi kuweka utani saaanaaaa.
ningekuwa na uwezo wa kuwa comedian nadhani ninge-enjoy sana
 
career-woman.jpg


https://www.jamiiforums.com/mahusia...dalili-hizi-basi-jua-kwamba-hujiamini%85.html

Huyo mdada vp...
 
Kuna hasara pia za kujiamini kupita kiasi? nadhani kunatakiwa kuwa na balance fulani katika kujiamini. Kutojiamini ni ugonjwa mbaya mno wa akili..nilikuwa nao nilipokuwa nakua na hadi sasa kuna baadhi ya maeneo nahisi sijiamini hasa katika mahusiano ya mapenzi

binafsi nilikua na tatizo ilo tangu secondary hadi chuo...nimeanza kazi yangu ya kwanza bado sikua najiamini;wkat fulani nikiulizwa kitu napatwa heartbeats;nikitakiwa kutoa maelezo fulani tyr heartbeats hadi huruma...u cant believe now am one of the best confident guys ever....i joined an organisation ambayo i was forced to grow up,na good enough niligundua watu wanaokuzunguka wanawezakukuchangia kuishusha confidence yako....friendly environment ndo kila kitu;....no more heartbeats;face to face discusion;vikao vya harusi nasimama nachangia;vikao vya ofisin usiseme;nyumbani mamsap anakubali jembe lake....
 
Public speaking ni janga, ila kama alivyosema Elizabeth Dominic hata kujiamini kwa kupitiliza ni tatizo, somehow lzm utafakari hata kidogo impact ya matendo au maneno yako kwa watu wanaokuzunguka. Hii inaitwa hekima, overconfidence ni ngumu kuitofautisha na arrogance.
ha haaa, siyo hivyo rafiki.
unajua unaweza kujiamini kwa hili na usijiamini kwa lile?
mdogo wangu ni mwl. ukiingia kwa darasa lake utampenda nda jinsi anavyomimina materials... kwa kujiamini haswaaaaa.
sasa mwambie Ombea chakula kwenye kusanyiko la watu kama 10 hivi..... hawezi kabisaaaa
 
Last edited by a moderator:
He he he, umenikumbusha nina mdogo wangu wa kike, namzidi karibu miaka 10
Lakini, kwe nye halaiki, anaweza kuongea kuliko mimi

Hata kama point nimeziandaa mwenyewe, sijui ni vipi
ha haaa, siyo hivyo rafiki.
unajua unaweza kujiamini kwa hili na usijiamini kwa lile?
mdogo wangu ni mwl. ukiingia kwa darasa lake utampenda nda jinsi anavyomimina materials... kwa kujiamini haswaaaaa.
sasa mwambie Ombea chakula kwenye kusanyiko la watu kama 10 hivi..... hawezi kabisaaaa
 
Yangu no 6 hasa ndio yanisumbua, hizo 13 na 14 si shida.
hilo namba 6 ukiling'ang'ania best hali yako itakuwa mbaya sana.......
sisi ni binadamu.... kuwa sahihi muda wote ni ngumu sana. Ndo maana huwa nashindwa kuelewa mtu anayeshindwa kuomba msamaha akiamini hawezi kukosea kitu
 
Public speaking ni janga, ila kama alivyosema Elizabeth Dominic hata kujiamini kwa kupitiliza ni tatizo, somehow lzm utafakari hata kidogo impact ya matendo au maneno yako kwa watu wanaokuzunguka. Hii inaitwa hekima, overconfidence ni ngumu kuitofautisha na arrogance.
upo sahihi kabisa rafiki...
ngoja tuvute subira labda shem Mtambuzi atatuletea mada ya hasara ya kujiamini kupita kiasi
 
Last edited by a moderator:
hilo namba 6 ukiling'ang'ania best hali yako itakuwa mbaya sana.......
sisi ni binadamu.... kuwa sahihi muda wote ni ngumu sana. Ndo maana huwa nashindwa kuelewa mtu anayeshindwa kuomba msamaha akiamini hawezi kukosea kitu
Yaani l am struggling, meditatation inanisaidia hasa ktk kukasirika things zisipomove the way l want them to.
Naona somehow ninamuathiri mwanangu, maana huwa analia asipoperform ingawa huwa najitahidi kujirudi na kumwambia it is okay kumake a mistake or two as long as one learns from them.

Shida l want things to Be perfect.
 
He he he, umenikumbusha nina mdogo wangu wa kike, namzidi karibu miaka 10
Lakini, kwe nye halaiki, anaweza kuongea kuliko mimi

Hata kama point nimeziandaa mwenyewe, sijui ni vipi
ha haaa, habari ndo hiyo....
unaweza amini na uzee huu bado napelekwa hospitali? siyo kusindikizwa...... mtu aende akamwambie daktari jinsi ninavyoumwa. na kwa sababu ya hii tabia, nalazimika kuwa na daktari ambaye ataniona kila ninapougua, lol!
 
Unaweza elezea matatizo yako kwa majirani?

Au unapenda kila saa kuwa karibu na majirani mnapiga story?
Coz hata nijitahidi vipi siwezi mbona
Bahati mbaya, kabla ya kueleza issue fulani kwa mtu najieleza mwenyewe na kujipa majibu ambayo nitapewa. So napick from the list kile ninachoona kinafaa.
Mfano leo, nimeomba ushauri kwa mtu just for the sake ya kumshirikisha tu ili ajisikie yu karibu na mimi wakati already najua nini nataka fanya. So bahati mbaya kanishauri tofauti na ninavyotaka kufanya, sasa natafakari njia ya kufanya ninachotaka kufanya bila ya kumuathiri (Shida yangu nyingine ni being nice sioendi kuharibu ego za watu ambao ni humble).

Nimekujibu kirefu, lkn kwa ufupi huku niliko watu hufikiri Kaunga huwa hana au hapati matatizo, kiasi kwamba siwezi mkopa mtu pesa kwani wanafikiri nawatania, imagine ni mama tu ndiye naweza kopa kwake pesa, not even my brothers.
 
Okay, saa nimeelewa kwa nini ulisema
Wote karibia tuko kundi moja, true true

Mie bado najifunza kuwa 'nice' at my age
Not sure if i will ever get there, sometimes niko so open
Hapo ulipoomba ushauri, ningekuwa mie ningeweza ropoka kuwa hujanishauri they way ninataka kufanya(ila huwa niko open/bold kwa watu wa karibu)

Bahati mbaya, kabla ya kueleza issue fulani kwa mtu najieleza mwenyewe na kujipa majibu ambayo nitapewa. So napick from the list kile ninachoona kinafaa.
Mfano leo, nimeomba ushauri kwa mtu just for the sake ya kumshirikisha tu ili ajisikie yu karibu na mimi wakati already najua nini nataka fanya. So bahati mbaya kanishauri tofauti na ninavyotaka kufanya, sasa natafakari njia ya kufanya ninachotaka kufanya bila ya kumuathiri (Shida yangu nyingine ni being nice sioendi kuharibu ego za watu ambao ni humble).

Nimekujibu kirefu, lkn kwa ufupi huku niliko watu hufikiri Kaunga huwa hana au hapati matatizo, kiasi kwamba siwezi mkopa mtu pesa kwani wanafikiri nawatania, imagine ni mama tu ndiye naweza kopa kwake pesa, not even my brothers.
 
Nini kifanyike?

Mara zote imani huja kwa kusikia...Na imani hujengwa kwa matendo chanya...Nini kifanyike?
1. Mara zote yakupasa kujenga mahusiano na watu wenye mawazo chanya (Wenye kutia moyo)

2. Epuka kufanya mambo kwa kuiga (be yourself and don't imitate)

3. Epuka kuwaza kushindwa (stop being the captive of negativities)

4. Jipe nafasi ya kuwa unaweza kwenda mbele

5. Jipende

6. Jaribu kufanya kama vile idols wako wafanyavyo au kwa kifupi ishi katika ndoto zako

NB: Imani ndio chimbuko la kujiamini
 
mimi nadhani kujiamini kupita kiasi ni ugonjwa mkubwa zaidi ya kutokujiamini.....
maana mtu anaweza akafanya kitu nyie huku mnaoangalia mkatamani ardhi ipasuke mjifiche, lakini mwenzenu waalaaa, anadunda tu

Hilo ni kweli ninakutana sana na watu wenye maconfidence ya ajabu na hasara zake ni kubwa zaidi
 
binafsi nilikua na tatizo ilo tangu secondary hadi chuo...nimeanza kazi yangu ya kwanza bado sikua najiamini;wkat fulani nikiulizwa kitu napatwa heartbeats;nikitakiwa kutoa maelezo fulani tyr heartbeats hadi huruma...u cant believe now am one of the best confident guys ever....i joined an organisation ambayo i was forced to grow up,na good enough niligundua watu wanaokuzunguka wanawezakukuchangia kuishusha confidence yako....friendly environment ndo kila kitu;....no more heartbeats;face to face discusion;vikao vya harusi nasimama nachangia;vikao vya ofisin usiseme;nyumbani mamsap anakubali jembe lake....

Safiii....lakini mi bado nina stage fright. Ni kweli mazingira na wakuzungukao inachangia sana
 
Back
Top Bottom