Harusi...

Kigarama

JF-Expert Member
Apr 23, 2007
2,492
1,230
Siku hizi Harusi zimekuwa si sherehe za kuwapongeza maharusi bali ni shughuli za gharama sana!!!

Siku hizi ili kamati za harusi zianze kujadili kuandaa harusi yako angalau wewe muoaji uwe na kiasi cha shilingi si chini ya milioni 3 au tano inategemeana na ukubwa wa Harusi. Lakini hizi gharama za kuandaa harusi ni halisia au kamati za harusi huwa zinachakachukua? Wakati mwingine mnapomchagua Mwenyekiti wa Kamati na yeye anawapa "Pendekezo" la kumchagua Katibu wake, huwa najiuliza hapo hakuna njama kweli?

Ili Harusi zisiwe za gharama sana ambazo maharusi hawaambulii kitu zaidi ya zawadi ya "Gas Cooker" kutoka kwa wanakamati, ni nini kifanyike ili kupunguza gharama za Harusi zetu ambazo sasa zinafikia nyingine hadi shilingi milioni 200?
 
Ziko harusi mimi nikiwa mwanakamati, japo mie sinywi ulabu lakini vikao vyote vilikua vinafanyikia Bar, coz majority ya members ni wapombekaji, kila J'1 ndy ilikua kikao, mikuku choma, mimbuzichoma, mibia, misoda na expesis ya ukumbi, 1.m na ushee ilikua inasagariswa @ wiki .
Dekia maneno hiyo .
 
Ziko harusi mimi nikiwa mwanakamati, japo mie sinywi ulabu lakini vikao vyote vilikua vinafanyikia Bar, coz majority ya members ni wapombekaji, kila J'1 ndy ilikua kikao, mikuku choma, mimbuzichoma, mibia, misoda na expesis ya ukumbi, 1.m na ushee ilikua inasagariswa @ wiki .
Dekia maneno hiyo .
Mwisho wa siku maharusi wanambulia nini kama siyo vigelegele vya shangazi zao!?
 
Mie nadhan ifike mahala kuwe na kampun za kuandaa haruc,iwe inatoa service kwa viwango mbalimbali kulingana na uwezo wa mahac,inakua mtu akishalipa hela ya watu siku ya haruc waliochangia na ndugu tunakutana ukumbin hakuna cha kamati wala nn,kwenye kamati uchakachuz haukwepeki!
 
Mie nadhan ifike mahala kuwe na kampun za kuandaa haruc,iwe inatoa service kwa viwango mbalimbali kulingana na uwezo wa mahac,inakua mtu akishalipa hela ya watu siku ya haruc waliochangia na ndugu tunakutana ukumbin hakuna cha kamati wala nn,kwenye kamati uchakachuz haukwepeki!
Sasa kwenye kamati ikifika wakati wa kuchagua Mpishi, Mpambaji na kamati ndogo ya vinywaji, hapo huwa BALAA!!

 
Sasa kwenye kamati ikifika wakati wa kuchagua Mpishi, Mpambaji na kamati ndogo ya vinywaji, hapo huwa BALAA!!


Alafu ukija kuwachunguza utaku wote wana uswaiba fulan hapo ndio kasheshe kwan mmoja akitoa idear inapata sapot ya wote!
 
Alafu ukija kuwachunguza utaku wote wana uswaiba fulan hapo ndio kasheshe kwan mmoja akitoa idear inapata sapot ya wote!
Halafu siku hizi wanakamati wanataka wanafamlia ya Bwana Harusi mtarajiwa ndiyo mchangishe pesa wao kazi yao ni kutengeneza Bajeti na kusimamia matumizi ya pesa mlizo kusanya. Kimbe kimbe siku ya kuvunja kamati lazima wanafamilia mshambuliwe kwa kutotimiza jambo fulani, hiyo ni LAZIMA!!
 
Kichekesho sana, watu wanafanya harusi ya gharama afu baada ya harusi wanaenda kupanga nyumba uswahilini lol.


Kuepusha gharama zisizo za lazima, bora kwenda kanisani na kufunga ndoa yenu then mkitoka mnafanya family party, hapa hakuna gharama kabisa.
 
ukitaka harusi iende vyema mawili 1. Mzazi/ndugu yako wa karibu au wewe mwenyewe uwe mweka hazina.

Uingie mtaani kutafuta kumbi n.k

ukiiachia kamati watakuchakachua.

Kwenye vikao si kila kikao unazungusha round, pitisheni uchakavu
 
ukitaka harusi iende vyema mawili 1. Mzazi/ndugu yako wa karibu au wewe mwenyewe uwe mweka hazina.

Uingie mtaani kutafuta kumbi n.k

ukiiachia kamati watakuchakachua.

Kwenye vikao si kila kikao unazungusha round, pitisheni uchakavu
Haya mambo ya kuchangishwa laki kwa harusi halafu wanandugu msiwe watunza hela iko siku ukumbini patachimbika!!
 
Ni wakati sasa wa kufanya harusi isiyozidi watu ishirini. Kama una m3 unaweza kuwalisha na kuwanywesha hao watu.
 
Mie nadhan ifike mahala kuwe na kampun za kuandaa haruc,iwe inatoa service kwa viwango mbalimbali kulingana na uwezo wa mahac,inakua mtu akishalipa hela ya watu siku ya haruc waliochangia na ndugu tunakutana ukumbin hakuna cha kamati wala nn,kwenye kamati uchakachuz haukwepeki!

Hujambo binti mtambuzi? Jitahidi basi harusi yako na ................xxxxx.......ichukue utaratibu huo.
 
Kichekesho sana, watu wanafanya harusi ya gharama afu baada ya harusi wanaenda kupanga nyumba uswahilini lol.


Kuepusha gharama zisizo za lazima, bora kwenda kanisani na kufunga ndoa yenu then mkitoka mnafanya family party, hapa hakuna gharama kabisa.

me huwa sitak kabisa kuwekwa kwenye kamati,
Lakin pia huwa sipend kupangiwa mchango!
 
Ziko harusi mimi nikiwa mwanakamati, japo mie sinywi ulabu lakini vikao vyote vilikua vinafanyikia Bar, coz majority ya members ni wapombekaji, kila J'1 ndy ilikua kikao, mikuku choma, mimbuzichoma, mibia, misoda na expesis ya ukumbi, 1.m na ushee ilikua inasagariswa @ wiki .
Dekia maneno hiyo .

huo ni ufedhul kwakwel!
 
Back
Top Bottom