Harusi ya kimasikini

Sio harusi hiyo ni ndoa,harusi ni Yale masherehe mnayo fanyaga ukumbini na mbwembwe zingine kama kutembea barabarani na magari ila kanisani hakuna harusi kanisani kuna ndoa tu.hapo wanafunga ndoa ila huwezi kufunga harusi.harusi haifungwi ila harusi inasheherekewa.
 
Nawatabiria ndoa yenye furaha sana hawa jamaa..... Wamefanya kitu kikubwa sana. Katika dunia hii ukiweza kuishi bila kujali kumfurahisha mwanadamu na kutojali utachukuliwaje na jamii utafika mbali sana!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…