Lenarokmollel
Member
- May 26, 2014
- 18
- 0
Ni kweli Ni kiongozi wa genge la majambazi Arusha, akisaidiwa na Ojare na Akida
sitaki kuongea sana mimi ni mkazi wa arusha, sijawahi kusikia hizo tuhuma, ila naona hizo political hatres.
Ni sawa kabisa. Lile jambazi aliyemtapeli mama wa kimasai fuso yake. Tunashukuru Mungu kesi ipo mahakamani na naamini haki itatendeka. Nasikitika tapeli kama huyu anawezaje kuoa na watu kuhudhuria sherehe yake. Fedha za maandalizi ya harusi nina uhakika ni za utapeli toka kwa tapeli Richard Birikaa, wadhulumu haki za watu, mawakili Ojare na Akida.
James Millya ni hatari sana,alikuwa anatembea na demu wangu na akamnunulia gari,ndo maana nikashangaa kuona demu wangu anazidi kubadilika tu,kumbe katekwa na hilo jambazi na uaji hatari,siku moja nikampigia cm demu akanijibu kwa nyodo kichizi,halafu lile jambazi lilipokuta received call kwenye cm ya yule demu likanipigia na kunitishia,inasemekana ni lenyewe pia lililomuua bilionea Erasto,nani anajua jina la mke wa huyu jambazi aliyeoa? kama yupo alitoe,inawezekana akawa ni yulele.kama litaendelea kuwa cdm mi nitahama.
James Ole Milya ameungana na tapeli mwenzake sugu Richard Birikaa (wote wamasai) kumwibia mama wa kimasai gari yake aina fuso na kumwuzia Maiko Shirima wa Fire Arusha. Kesi ilikuwa mahakama ya wilaya ya Sekei akanyang'anywa hakimu Patricia Kisinda baada ya Ole milya, Richard na mawakili hatari kwa kudhulumu haki za watu, Ojare na Akida kumhonga ili hakimu Patricia Kisinda atoe hukumu ya upendeleo. Siku Mdhulumu mkuu wa haki za watu anayeishi kwa kusaidia matapeli, wakili Akida pamoja na Ole Milya walishindwa kumtoa Richard birikaa mahabusu polisi, Arusha kati alipolaa hadi alipofikishwa tena mahakamani. Kesi inaendelea.