Harusi ya James Ole Milya - Mei 03, 2014

Harusi ya James Ole Milya - Mei 03, 2014

baba ye2

Member
Joined
Jun 8, 2013
Posts
67
Reaction score
10
Mwanasheria, Mwanasiasa na mfanyabiashara maarufu amefunga ndoa na kufanya harusi ya nguvu jijini Arusha.

Katika sherehe hiyo imepata kuhudhuriwa na viongozi mbali wa serikali na wakisiasa kama waziri wa maliasili na utalii ndugu Lazaro Nyalandu, mwenyekiti wa CHADEMA Freeman mbowe, wabunge kama vile Joshua Nasari, Godbless Lema, pia meya wa jiji la Arusha, mkuu wa wilaya ya Arusha na vióngozi wengi wa kada mbalimbali.

Sherehe hiyo ilitawaliwa na harufu kali ya siasa kwa kuwa katika kutambulisha ilipofikia wakati wa viongözi wa siasa wageni waalikwa walitoa kelele za kisiasa.

Jamani, watanzania tunakokwenda sijui, vilevile MC aliyetokea Kenya alisikika akisema Ole Milya ameshapata jimbo na atakua mstari ma mbele kumnadi wakati ukifika.

Nawasilisha
 
...

.....Asante sana siasa ni upendo na uzalendo !!!

kweli earthmover, najua kuna wana jf watakuja kudai picha ila kwa bahati mbaya sikufanikia kuchukua matukio, ila nbmini kuna wana jf wengi walikuwa wametia timu.
 
james millya ndio yule tapeli maarufu arusha?
 
kweli earthmover, najua kuna wana jf watakuja kudai picha ila kwa bahati mbaya sikufanikia kuchukua matukio, ila nbmini kuna wana jf wengi walikuwa wametia timu.

....ha ha ha wanapenda sana picha ila natumaini members watazirusha Mkuu !!!

Nimefurahi kusikia watu katika Taifa letu bila kujali itikadi zetu tunakuwa pamoja !!!!
 
mnafiki wa kwanza wewe najua wataendelea kuja, alikvapeli nini.,.,,

hakuna mtu asiemjua millya kwa utapeli arusha.. ni kibaka mzoefu hapo arusha..ana genge lake la utapeli..
 
Habari ya harusi isiyo na picha za maharusi ni uhaini na utapeli wa kutupotezea muda
 
hakuna mtu asiemjua millya kwa utapeli arusha.. ni kibaka mzoefu hapo arusha..ana genge lake la utapeli..

sitaki kuongea sana mimi ni mkazi wa arusha, sijawahi kusikia hizo tuhuma, ila naona hizo political hatres.
 
hawezi kurudi jiziemu, ila viongozi wa ccm wa mkoa walikuja harusini, wakakuta mziki wa wageni wakimshangilia Freeman mbowe, ndugu yangu ccm Arusha ni marehemu wa siku nyingi.

hiyo harusi ilijaa matapeli na majambazi
 
abakorakam[COLOR=#0000cd said:
o;[/COLOR]9430918]james millya ndio yule tapeli maarufu arusha?


...Utumwa wa fikra bado unarindima lumumba !!!


IndigenousSlavers001.jpg
 
Habari ya harusi isiyo na picha za maharusi ni uhaini na utapeli wa kutupotezea muda

ha, nilishasema sikufanikiwa kuchukua picha, utaipata muda wowote maana naamini wanajamvi wengi walikua.
 
James Millya kafunga ndoa na mtoto wa John D.

James na baba mkwe wote wanataka Ubunge. James Simanjiro (CDM) while Baba Mkwe Arumeru Mashariki (CCM).
 
james millya ndio yule tapeli maarufu arusha?
Ni yule Tapeli aliyejichimbia jijini Arusha. Anatumia kofia ya siasa kuficha tabia yake ya utapeli. Alipewa hela na Tapeli sugu jijini Arusha ajulikanaye kwa jina la Richard Birikaa Pedersen kutengeneza gari lake Nairobi. Pamoja na wakili Ojare anayetetea majambazi, sasa Ole Milya ameungana na wakili Akida kumdhulumu mama wa kimasai gari lake.
 
Back
Top Bottom