mwanaMtata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2014
- 2,393
- 1,433
Harusi ni sherehe moja mhimu hasa ukizingatia kumbukumbu inayoachwa kati ya wapenzi hao wawili. Harusi inapogeuka kituko basi ikumbukwe kua hilo pia haitasahaulika maishani mwako na pengine wale wa karibu yako.
Tazama hapa harusi hizi na nikukumbushe tu usialike watu wa sampuli hii kwenye harusi yako.