Pung'o boy
JF-Expert Member
- Aug 1, 2013
- 685
- 304
Na kuna huyu mwingine wa nchi jirani okwi nae nidhamu inamrudisha nyuma maana kwa kipaji chake hakua mtu wa kucheza africa kipindi chote hicho
Labda iniesta wa bunjuYani hapa navyosoma wadau mnavyojaribu kuelezea sifa za huyu fundi hadi yanataka kutokaa.. Yani huyuu mtu touchez zake nataka kuzifananaisha na kina iniesta, ila alikosa nidhamu kama aliyo nayo samatta
Mbingu na ardhi.. Japo nilikua navutiwa na tabia zakeWadau vipi kuhusu salum telela????