marcoveratti
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 964
- 1,687
Breaking News
Gari la Kurusha Matangazo la Azam Tv limezuiliwa kuingia Uwanja wa Nyamanaga Kurusha Mechi ya playoff baina ya Pamba na Kagera Sugar. Hii imetokea baada ya kutokuwepo makubaliano baina ya hizo timu na Azam TV. Mlioko Nyamagana twambieni kinachoendelea
Gari la Kurusha Matangazo la Azam Tv limezuiliwa kuingia Uwanja wa Nyamanaga Kurusha Mechi ya playoff baina ya Pamba na Kagera Sugar. Hii imetokea baada ya kutokuwepo makubaliano baina ya hizo timu na Azam TV. Mlioko Nyamagana twambieni kinachoendelea