Harufu ya kiume inanitia hamu

Harufu ya kiume inanitia hamu

una pepo la ngono! nenda kwa GWAJIMA akakusaidie!

Makuku Rey
 
Unamaanisha jasho la kiume? Au natural harufu yakiume tuseme mwanamme aliekua hajatia manukato?
 
Umekwisha jumla. Yaani kabisa kabisa.

Sasa utachanganywa na wanaume wangapi? Manake wewe kila harufu ya mwanaume unanyeshewa. Hata maji yanachanganyikana na sukari, chumvi etc ila hayachanganyikani na mafuta (naongelea chemistry).

Chemistry yako ni mwisho wa matatizo.
Nmekwishaje?
 
Dawa ni kitu kidogo sana, kuna mmoja yy anapenda harufu ya kikwapa na mwanaume akivua viatu ila ni shida sana ukimkuta mtu wa hali hyo
 
Kila mtu na shoda zake mmoja niliwahi kuishi naye nyumba moja kila akiniona nimevaa kaptula hanisogelei, baadae akaniambia kila nikiona nywele zako miguuni lazima niloe na ni mke wa mtu.

Mghosi
 
Halafu ushawahi kumwona beberu akinusa K ya mbuzi jike?

Huwa wananusa halafu wananyanyua pua na mdomo ili kuisikilizia vizuri harufu:lol:.

Dizaini K ya mbuzi jike nayo ina harufu flani hivi ya kimzuka mzuka:lol:.

Beberu watundu sana aisee.

Pale huwa anapima kama ameshakuea tayari kwa kushika mimba mana huwa hawapandani bila sababu za kiuzazi kazi zao ni kwa ongezeko la mbuzi na si starehe tu.
 
Sasa mtu anataka ushauri Wengine Humu Ni Ma (NS) NEVER SERIOUS.Mnaleta Jokes Em Imagine Wewe ndio ungekua Na ilo Tatizo ungejisikiaje!!?.kama huna cha maana cha kumshauri Funga Domo Lako!!!..Alaah!!!...Blaalbasket!!!!!!!
 
Una miaka mingapi nataka kukusaidia najua dawa yake nipigie hilo ni tatizo sihitaji malipo wala kunifuata nitakuelekeza tu nini ufanye


Kumbe kila tatizo lina tiba yake?
Hii ndo Tanzania uitakayo.
 
Pale huwa anapima kama ameshakuea tayari kwa kushika mimba mana huwa hawapandani bila sababu za kiuzazi kazi zao ni kwa ongezeko la mbuzi na si starehe tu.

Actually hakuna chembe ya starehe kwenye ngono kwa wanyama wengine isipokuwa binadamu. Nilimsikia mtaalamu mmoja akisema lengo la ngono kwa wanyama ni reproduction na si starehe.
 
Halafu ushawahi kumwona beberu akinusa K ya mbuzi jike?

Huwa wananusa halafu wananyanyua pua na mdomo ili kuisikilizia vizuri harufu:lol:.

Dizaini K ya mbuzi jike nayo ina harufu flani hivi ya kimzuka mzuka:lol:.

Beberu watundu sana aisee.
Hahaaa.... Chapa ng'ombe utamjua tu!. Beberu wanajua kupima bana!.:lol:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom