Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jijini naona kafika salama kwani yuko "online right now"
Ila huyu jamaa naona ameharibu biashara ya hilo basi kwa taarifa zake.. Ningeomba apewe ban
Umenikumbusha mambo ya magereza. Wafungwa wapo ndani ya gereza, wakisikia kishindo cha viatu nje, wanaulizana kama huyo ni Afande.Yale yale wa mwanaume yuko nje analima mkewe yuko ndani anapika mara mlio wa risasi unasikika kwa nje then mwanaume anakimbia ndani na anafunga mlango halafu anamuuliza mkwewe
"Nani kafyatua Risasi?"
Habari za asubuhi wadau
nipo singida nimepanda najmunisa naelekea dar..
Kwenye hili basi nimekutana na harufu ya ajabu haieleweki.
Mwenye kujua chanzo cha harufu ndani ya basi naomba anijuze.