kidole007
JF-Expert Member
- Dec 22, 2012
- 3,094
- 1,876
Nina miliki Subaru Forester manual transmission tangu mwaka 2010 hadi sasa.Hizi gari ni imara sana haziharibiki hovyo hovyo ila ikiharibika jiandae spear zake ziko juu sana mfano shock up yake moja ni Tsh.250,000.Na kwa sababu ni AWD mafuta inakula zaidi ya non AWD.Hazikwami kwenye michanga,tope nk.Zinakimbia sana pia.Harrier sijawahi kuitumia.Spare za Subaru haziingiliani na Toyota!Hata Rim lazima utafute ya Subaru!
Harrier nyingi ni front wheel .. haikai kwenye mchanga wala tope
