Harrier vs forester subaru

Harrier vs forester subaru

Shukrani kwa maelezo mazuri
Mimi pia nimeendesha Harrier ya 2006 cc 2490. Kuhusu mafuta inakunywa na kuhusu comforability inategemea upo kwenye mwendo gani. Ikiwa unaendesha speed za 100km/h + utaanza kuona kama inaelea hivi barabarani na inakuwa laini hali ambayo inakupa hamasa ya kukanyaga mafuta tu. Yani inakuwa kama ndege ya ardhini.

Ingawa niliuza Harrier yangu na sasa napush Rav4 ya 2008. Hata hivyo ninapendekeza mtu kama ana uwezo nalo Harrier new model ni gari zuri sana.
 
Umewahi kuona mtu mwenye pesa zake ananunua Subaru!? Tuanzie hapo kwanza.

Wenye Subaru na Alteza wengi ni hawa hawa vijana wamepata vihela vya spea za Harrier (new model) na Rav 4 (new model) kama milion 8 hivi ndio wanaagiza Subaru.

Yani nimeshangaa kuona muanzisha uzi anafananisha gari ambazo bei zao moja ni mara karibu tano ya nyingine halafu anataka wachangiaji tumpe maoni yetu! Hatupo serious jamani
Ukifuata sana ushauri wa JF unaweza jikuta unajuta, kuna kipindi niliwahi kuomba wanishauri gari ndogo ya kununua, zaidi ya 70% ya wadau walishauri ninunue CARINA TI ingawa kwa upande wangu nauona hilo gari ni mkweche wa kizamani, ingawa niliomba ushauri mwenyewe ila sikuufata kwakweli. Kwa JF gari gumu kinalovumilia njia mbovu ndio bora. Kuhusu hii thread mi mwenyewe nilishangaa hivi unawezaje kusema Subaru ni gari bora zaidi ya Harrier?
 
Acheni kulinganisha Subaru na vitu visivyoweza kushindana nayo, Subaru ni Symmetrical All Wheel Drive(AWD) inayotoa power independent kwa matairi itategemea lipi linahitaji nguvu ndo linapewa, ukiwa rough road ndo utapenda zaidi maana Forester imekua designed for rough road zaidi na kadri inavyozidi kukimbia inakua more stable inatitia flani hivi, ukitaka flexibility na comfortability barabarani basi Subaru ndo nyumbani, hizi gari ni za miendo huwezi linganisha na gari za starehe na advantage ua Subaru ni kua hakuna vifaa fake km gari nyingi za Toyota maana zinaingilia sana
 
Mhhh sijui sn magari bt Harrier is on a whole new level, level zake ni SUV, Subaru naona ni sedan, enewei mtu km mie mwonekano wa gari matters the most performance mara sijui spidi vya kazi gani Dar kwnyw foleni kila mahali
 
Ukifuata sana ushauri wa JF unaweza jikuta unajuta, kuna kipindi niliwahi kuomba wanishauri gari ndogo ya kununua, zaidi ya 70% ya wadau walishauri ninunue CARINA TI ingawa kwa upande wangu nauona hilo gari ni mkweche wa kizamani, ingawa niliomba ushauri mwenyewe ila sikuufata kwakweli. Kwa JF gari gumu kinalovumilia njia mbovu ndio bora. Kuhusu hii thread mi mwenyewe nilishangaa hivi unawezaje kusema Subaru ni gari bora zaidi ya Harrier?

Gari bora kwako ni lipi, ongea kwa facts kidogo. Au kwako gari bora ni ile unayoiona sana? Kama unavyoshangaa watu kusema subaru ni bora kuliko harrier ndivyo nami navyoshangaa jinsi usivyoielewa subaru, hasa ukiongea bila facts. Watu washaeleza humu kwa nini wanasema Subaru ni bora zaidi. AWD, POWER, stability, durability. Mnaoongea kwa kejeli kuwa unafanishaje harrier na subaru mngesema kwa nini harrier bora
 
Gari bora kwako ni lipi, ongea kwa facts kidogo. Au kwako gari bora ni ile unayoiona sana? Kama unavyoshangaa watu kusema subaru ni bora kuliko harrier ndivyo nami navyoshangaa jinsi usivyoielewa subaru, hasa ukiongea bila facts. Watu washaeleza humu kwa nini wanasema Subaru ni bora zaidi. AWD, POWER, stability, durability. Mnaoongea kwa kejeli kuwa unafanishaje harrier na subaru mngesema kwa nini harrier bora
Huyo hajui na hataki kujua Subaru.

Hujaweka SAFETY. Subaru Forester ina highest safety rating from crash tests kuliko gari jingine lolote in its class kwasababu ya boxer engine kuwa chini hivyo kutobinya occupants wa gari kwenye ajali.
 
5aff11ea855cf61f9cd6159fe2ebd645.jpg
 
Kama una katabia ka kuonja kilevi na kuendesha gari usinunue hiyo gari, pulling yake ni ya hatari.
Sinywi na sijawahi kunywa na situmii chohote kill
Hata kuvuta sivuti

Experienced ila sio kwenye rally a sijawahi shiriki yoyote
 
Sinywi na sijawahi kunywa na situmii chohote kill
Hata kuvuta sivuti

Experienced ila sio kwenye rally a sijawahi shiriki yoyote

Basi Utaipenda. Niliwahi kuendesha Forester ya 2004 cc2500,manual turbo. Nzuri ila ni kwa wanaopenda nguvu nyingi kwenye gari. Vinginevyo Subaru ya CC 2000 bado inatosha sana na ni economical zaidi
 
Kaka kuilinganisha subaru na harrier ni kuikosea heshima subaru,, subaru ni subaru tu hebu tutake radhi sisi wazee wa subaru lakini ni kwasababu umesema umeendesha subaru kidogo tu ulivyokuwa mwanza kwa hiyo bado hujaijua vizuri. Gari ina speed sana ile halafu iko stable, kingine haichagui barabara hlf haina tofauti kwenye tambarare wala mlima speed ni ile ile. Halafu ni all weather road yaani kwa kifupi ni gari yenye power sana. Mimi namiliki subaru forester ya 2004 ni gari nzuri sana halafu ni nyepesi kuchanganya kwa sababu nikiondoka kwa kasi inanichukua sekunde 8 tu mshale wa speed kutoka 0 to 100. Na kuhusu mafuta ni utumiaji wako wewe mwenyewe kwa sababu nikiamua kukimbia sana huwa kweli linanipiga mafuta lakini nikiliendesha kistaarabu wala halinipigi. Kwenye spea zake ndo kuna gharama kidogo na ni kwa sababu spea zake ni genuine ukifunga utasahau. Lakini kwa ushauri wangu subaru ni gari zuri sana na halina magonjwa yakijinga kijinga na ikitokea limepata tatizo muone fundi anayejua subaru kwani ukipeleka tu kwa fundi mradi ni fundi utajuta kitakachokupata
Hapo umeongea kweli ndugu yangu, mimi nawajua mafundi wachache sana wa Subaru hapa dar, na huwa wanajua kutambua ugonjwa wa gari hata kabla haijaanza kukupa wenye, akisema upeleke gereji usibishe
 
Kila mtu na mapenzi yake mm Brevis aka Benz ya Kijapan hunitoi hata kwa masafa kusafiri mbali Subaru itangoja sana

Ni kweli kika mtu ana mapenzi yake. Brevis ndio gari natumia mara kwa mara. Ni nzuri, comfortable na ina nguvu ila inakula mafuta zaidi na sio ngumu kama subie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom