falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,213
- 9,334
Mimi pia nimeendesha Harrier ya 2006 cc 2490. Kuhusu mafuta inakunywa na kuhusu comforability inategemea upo kwenye mwendo gani. Ikiwa unaendesha speed za 100km/h + utaanza kuona kama inaelea hivi barabarani na inakuwa laini hali ambayo inakupa hamasa ya kukanyaga mafuta tu. Yani inakuwa kama ndege ya ardhini.
Ingawa niliuza Harrier yangu na sasa napush Rav4 ya 2008. Hata hivyo ninapendekeza mtu kama ana uwezo nalo Harrier new model ni gari zuri sana.
Ukifuata sana ushauri wa JF unaweza jikuta unajuta, kuna kipindi niliwahi kuomba wanishauri gari ndogo ya kununua, zaidi ya 70% ya wadau walishauri ninunue CARINA TI ingawa kwa upande wangu nauona hilo gari ni mkweche wa kizamani, ingawa niliomba ushauri mwenyewe ila sikuufata kwakweli. Kwa JF gari gumu kinalovumilia njia mbovu ndio bora. Kuhusu hii thread mi mwenyewe nilishangaa hivi unawezaje kusema Subaru ni gari bora zaidi ya Harrier?Umewahi kuona mtu mwenye pesa zake ananunua Subaru!? Tuanzie hapo kwanza.
Wenye Subaru na Alteza wengi ni hawa hawa vijana wamepata vihela vya spea za Harrier (new model) na Rav 4 (new model) kama milion 8 hivi ndio wanaagiza Subaru.
Yani nimeshangaa kuona muanzisha uzi anafananisha gari ambazo bei zao moja ni mara karibu tano ya nyingine halafu anataka wachangiaji tumpe maoni yetu! Hatupo serious jamani
Ukifuata sana ushauri wa JF unaweza jikuta unajuta, kuna kipindi niliwahi kuomba wanishauri gari ndogo ya kununua, zaidi ya 70% ya wadau walishauri ninunue CARINA TI ingawa kwa upande wangu nauona hilo gari ni mkweche wa kizamani, ingawa niliomba ushauri mwenyewe ila sikuufata kwakweli. Kwa JF gari gumu kinalovumilia njia mbovu ndio bora. Kuhusu hii thread mi mwenyewe nilishangaa hivi unawezaje kusema Subaru ni gari bora zaidi ya Harrier?
Huyo hajui na hataki kujua Subaru.Gari bora kwako ni lipi, ongea kwa facts kidogo. Au kwako gari bora ni ile unayoiona sana? Kama unavyoshangaa watu kusema subaru ni bora kuliko harrier ndivyo nami navyoshangaa jinsi usivyoielewa subaru, hasa ukiongea bila facts. Watu washaeleza humu kwa nini wanasema Subaru ni bora zaidi. AWD, POWER, stability, durability. Mnaoongea kwa kejeli kuwa unafanishaje harrier na subaru mngesema kwa nini harrier bora
Kuna kifaa kimoja cha 2007 nimekiona ila kinahitaji 40mil Hadi kikufikie
Subaru Forester still
Trubo charged
2500cc
Sinywi na sijawahi kunywa na situmii chohote killKama una katabia ka kuonja kilevi na kuendesha gari usinunue hiyo gari, pulling yake ni ya hatari.
Sinywi na sijawahi kunywa na situmii chohote kill
Hata kuvuta sivuti
Experienced ila sio kwenye rally a sijawahi shiriki yoyote
Hapo umeongea kweli ndugu yangu, mimi nawajua mafundi wachache sana wa Subaru hapa dar, na huwa wanajua kutambua ugonjwa wa gari hata kabla haijaanza kukupa wenye, akisema upeleke gereji usibisheKaka kuilinganisha subaru na harrier ni kuikosea heshima subaru,, subaru ni subaru tu hebu tutake radhi sisi wazee wa subaru lakini ni kwasababu umesema umeendesha subaru kidogo tu ulivyokuwa mwanza kwa hiyo bado hujaijua vizuri. Gari ina speed sana ile halafu iko stable, kingine haichagui barabara hlf haina tofauti kwenye tambarare wala mlima speed ni ile ile. Halafu ni all weather road yaani kwa kifupi ni gari yenye power sana. Mimi namiliki subaru forester ya 2004 ni gari nzuri sana halafu ni nyepesi kuchanganya kwa sababu nikiondoka kwa kasi inanichukua sekunde 8 tu mshale wa speed kutoka 0 to 100. Na kuhusu mafuta ni utumiaji wako wewe mwenyewe kwa sababu nikiamua kukimbia sana huwa kweli linanipiga mafuta lakini nikiliendesha kistaarabu wala halinipigi. Kwenye spea zake ndo kuna gharama kidogo na ni kwa sababu spea zake ni genuine ukifunga utasahau. Lakini kwa ushauri wangu subaru ni gari zuri sana na halina magonjwa yakijinga kijinga na ikitokea limepata tatizo muone fundi anayejua subaru kwani ukipeleka tu kwa fundi mradi ni fundi utajuta kitakachokupata
Kila mtu na mapenzi yake mm Brevis aka Benz ya Kijapan hunitoi hata kwa masafa kusafiri mbali Subaru itangoja sanaKuna kifaa kimoja cha 2007 nimekiona ila kinahitaji 40mil Hadi kikufikie
Subaru Forester still
Trubo charged
2500cc
Haya hongera ila sababu hatujawahi shindana bas usiseme sikutoiKila mtu na mapenzi yake mm Brevis aka Benz ya Kijapan hunitoi hata kwa masafa kusafiri mbali Subaru itangoja sana
Kila mtu na mapenzi yake mm Brevis aka Benz ya Kijapan hunitoi hata kwa masafa kusafiri mbali Subaru itangoja sana