Harmorappa apata shavu

Felix King Zaman

Senior Member
Aug 6, 2016
125
117
Habari zinazonifikia kitaa kutoka town zinasema kuwa Harmorappa underground ambaye amehit kwa kasi amepata shavu . Leo asbuhi alionekana Nairobi na inasemekana yupo kule kufatlia dili ya kuwa ambassador wa Safaricom nchini Tanzania. Mbali na haya yupo na mpango WA kukutana na Sauti Sol kwa ajili ya collabo.
cedf7e0aa005b074fb644da8d2d5ccdf.jpg
 
Habari zinazonifikia kitaa kutoka town zinasema kuwa Harmorappa underground ambaye amehit kwa kasi amepata shavu . Leo asbuhi alionekana Nairobi na inasemekana yupo kule kufatlia dili ya kuwa ambassador wa Safaricom nchini Tanzania. Mbali na haya yupo na mpango WA kukutana na Sauti Sol kwa ajili ya collabo.
cedf7e0aa005b074fb644da8d2d5ccdf.jpg
Hii picha ni ya barabara inayopita kando ya Arusha Airport kama kuelekea kisongo, inahusika vipi na hii habari ya mwana Darisalama?
 
Yeye aendelee kusaka sifa ktk kona ya nchi lkn ipo cku atanyooka atakapoambiwa aeleze kuhusu wapi anapatta pesa za kupigia picha!! Kesi ya madawa iko nyuma yake asipojibadila
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom