Huyo dogo asiwaumize kichwa hizo pesa ni za huyo manager/boss wake na sio kimziki tu huyo Harmorapa anauza duka la huyo bosi (bosi anauza magari na spares) hivyo dogo akishapokea mkwanja wa mahesabu kama hivyo ndo anapiga picha.
Source: TV 1, dogo alikiri kuuza duka la bosi na hizo pesa ni za mahesabu