Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,239
- 22,675
Mimi nimeona nisiwe mnafki huyu mmakonde akitulia huwa anafanya unyama Sana,
tangu asubuhi wimbo naurudia rudia tu.
Japo marioo naye hajapoa lakini nachelea kusema harmonize kamfunika marioo Sana mule.
Hii ni moja ya collabo bora Sana maana imejumuisha vichwa viwili na wala sio vilaza..
Kwa sasa marioo na harmonize ndio game changer wa bongo fleva tuliobaki nao huu ni ukweli mchungu.
tangu asubuhi wimbo naurudia rudia tu.
Japo marioo naye hajapoa lakini nachelea kusema harmonize kamfunika marioo Sana mule.
Hii ni moja ya collabo bora Sana maana imejumuisha vichwa viwili na wala sio vilaza..
Kwa sasa marioo na harmonize ndio game changer wa bongo fleva tuliobaki nao huu ni ukweli mchungu.