elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,704
Naangalia kipindi kwenye channel ya CBS R kinachoonyesha kesi mbalimbali za watu na wataalu wanavyotumia utaalamu wao kukusanya ushahidi kwa kesi ngumu za mauaji.
Wenzetu wako mbali sana katika teknolojia na katika kukusanya na kufuatilia ushahidi wa kesi mpaka nabaki mdomo wazi.
Wenzetu wako mbali sana katika teknolojia na katika kukusanya na kufuatilia ushahidi wa kesi mpaka nabaki mdomo wazi.