NGENDA NGOLOMA
Member
- Feb 18, 2012
- 23
- 11
Mohammed Dewji ni kada wa CCM na alikuwa anatoa kwa chama tawala na hivyo hakuna kitu ambacho angehofia katika maslahi ya biashara zake zaidi ya kupata neema. Na kama hiyo haitoshi wote tunafahamu biashara za MO na uhusiano wake CCM. Hivyo kulinganisha sadaka ya Dewji na Ndesa ni sawa na kufananisha/kukutanisha mbingu na nchi, Mwanaume na mwanamke ungali unajua tofauti zaoHa ha haaaaa Tshs 20 million, ndio nyingi ? Nakumbuka Mh. Mohammed Dewji alikichangia chama chake Tshs 560million, sasa hapo kwa yeye tungesemaje ?
Ha ha haaaaa Tshs 20 million, ndio nyingi ? Nakumbuka Mh. Mohammed Dewji alikichangia chama chake Tshs 560million, sasa hapo kwa yeye tungesemaje ?
Ha ha haaaaa Tshs 20 million, ndio nyingi ? Nakumbuka Mh. Mohammed Dewji alikichangia chama chake Tshs 560million, sasa hapo kwa yeye tungesemaje ?
Ha ha haaaaa Tshs 20 million, ndio nyingi ? Nakumbuka Mh. Mohammed Dewji alikichangia chama chake Tshs 560million, sasa hapo kwa yeye tungesemaje ?
Misamaha ya kodi iko kisheria, mwambieni na Ndesamburo nae aiombe atapewa tu hiyo misamaha ili na yeye akichangie chama zaidi ya hizo
Harambee ianzishwe kwa ajili ya radio na tv chadema ili kuleta wepesi wa kuangalia matukio mbalimbali ya chama na pia itasaidia kupeana habari mbalimbali
Kichenchede!!!
Huyu alikuwa analipa fadhila kwa misamaha ya kodi anayopata kupitia chama hicho.
Misamaha ya kodi iko kisheria, mwambieni na Ndesamburo nae aiombe atapewa tu hiyo misamaha ili na yeye akichangie chama zaidi ya hizo
Jamaa limejawa na wivu halijalala usiku kucha kisa CDM imekusanya bilioni kutoka kwa wenye chama chaon yaani wananchi wa pande zote na dini zote Tanzania. Amka Rejao, thamini utu wako kwa kujiunga na chama kinachokubalika kwa wananchi na sio chama chako kinachokataliwa na wananchi kwa kasi
Ha ha haaaaa Tshs 20 million, ndio nyingi ? Nakumbuka Mh. Mohammed Dewji alikichangia chama chake Tshs 560million, sasa hapo kwa yeye tungesemaje ?
Ha ha haaaaa Tshs 20 million, ndio nyingi ? Nakumbuka Mh. Mohammed Dewji alikichangia chama chake Tshs 560million, sasa hapo kwa yeye tungesemaje ?