Chui mwenye njaa kali alimkimbiza mbwa, mwa akaingia chooni kupitia dirisha chui naye akaingia. Choo kilikuwa kimefungwa mlango, hivyo mbwa hakuweza kutoka badala yake alikaa tuli kwenye kona moja wapo na chui alikaa kona nyingine, hakuweza kumshambulia mbwa. Je, unafhani kwanini chui hakuweza kumla mbwa licha ya kuwa njaa kali?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.