Harakati udsm zazimwa rasmi..

Junior. Cux

JF-Expert Member
Feb 3, 2011
5,319
3,767
Ikiwa leo ndo siku ya mwisho ya boom kuwepo mifukoni mwa wanachuo wa udsm, hakuna hata chembe ya tetesi ya siku boom la pili litakapo toka. Hii inamaanisha kuanzia kesho jumatatu wanachuo washinde njaa kwa kipindi chote mpka pale serikali itakapoamua kutoa hilo boom.

kwa upande mwingine tofauti na zamani kipindi kama hiki harakati zinakua zimeshaanza kushinikiza kuwaishwa kwa boom lakini hadi hivi sasa hakuna kinachoendelea, chuo kiko kimya kila mtu akimtegemea mwenzake kulalamika huku daruso na uongozi mzima wa chuo ukiwa haujatoa hata tangazo la kucheleweshwa kwa boom..
je hii ni failure ya wanaharakati wa chuo cha taifa au ndo kusema hakuna wanaharakati wengine waliobaki tokea kufukuzwa kwa majembe 45 yaliyokua yakitetea haki zetu...
 
Oya madogo,mcje mkatuharibia sis mafinalist na hzo harakat zenu bana!
 
Oya madogo,mcje mkatuharibia sis mafinalist na hzo harakat zenu bana!

What a comment? From a finalist in a #1 university in the nation...
Anyways, its 2 - 0 Mancester City here at Molineux.
 
kesho najipanga kuanza mashambulizi kuelekea utawala mimi nafaa sana kuwa mbadala wa AL-SHABAAB
 
Hao jamaa 45 unaowaita majembe wakikusikia wanaweza hata kukuvunja kichwa. yaan unamwita jembe wakati saiz anasota kitaa
 
Wengine wamefukuzwa, nyie mnakula good tym mkisubiri boom tuuuuu! Na hiyo dhambi ya usaliti itawakuta mmoja mmoja hata bada ya ku-graduate. Big snitches! The coward
 
Hao jamaa 45 unaowaita majembe wakikusikia wanaweza hata kukuvunja kichwa. yaan unamwita jembe wakati saiz anasota kitaa

maisha sio kitabu tu by the way mpaka amefika udsm seems anaakiri za kujiongeza mwenyewe ata kimaisha..
 
Ngoja tu bodi wajicheleweshe ndipo utaona bado kuna wanaharakati au la.
 
Ikiwa leo ndo siku ya mwisho ya boom kuwepo mifukoni mwa wanachuo wa udsm, hakuna hata chembe ya tetesi ya siku boom la pili litakapo toka. Hii inamaanisha kuanzia kesho jumatatu wanachuo washinde njaa kwa kipindi chote mpka pale serikali itakapoamua kutoa hilo boom.
kwa upande mwingine tofauti na zamani kipindi kama hiki harakati zinakua zimeshaanza kushinikiza kuwaishwa kwa boom lakini hadi hivi sasa hakuna kinachoendelea, chuo kiko kimya kila mtu akimtegemea mwenzake kulalamika huku daruso na uongozi mzima wa chuo ukiwa haujatoa hata tangazo la kucheleweshwa kwa boom..
je hii ni failure ya wanaharakati wa chuo cha taifa au ndo kusema hakuna wanaharakati wengine waliobaki tokea kufukuzwa kwa majembe 45 yaliyokua yakitetea haki zetu...

ulipaswa kuonyesha dhamira ya kudai boom kwa vitendo na si kwa kutuma thread hapa jf
 
Usiwaote hao wapuuzi wanaoitwa wanaharakati.wanafiki wakubwa na wanaonunuliwa kwa bei ya maandazi.watuache tusome tumalize mwaka basi kelele hatutaki.
 
Back
Top Bottom