Haraka i na mbembwe vya nini?

Haraka i na mbembwe vya nini?

kajumula.

Member
Joined
Jun 29, 2012
Posts
34
Reaction score
0
Watanzania tumebakiza takribani miaka mitatu tuingie kwenye uchaguzi mkuu wa rais, bunge na madiwani. Nashangaa kuona/ kusikia kuwa kuna wana siasa wameanza kujinadi kwenye magazeti na redioni kuwa wako tayari na wanauwezo kwa kutuongoza.. nionavyo mimi waache mbwembwe na majitanuzi ya maneno.

WAACHE TUTAWAPIMA WENYEWE, KWANZA BADO NI MAPEMA MNO.
 
Back
Top Bottom