Happy vicheche day

Happy vicheche day

geek_girl

Member
Joined
May 26, 2013
Posts
55
Reaction score
14
LEO ni Siku ya Watu Wenye Wapenzi zaidi ya Mmoja, Kauli Mbiu:- "EPUKA KUSEMA SINA MWINGINE ZAIDI YAKO". Tuma sms hii kwa Watu unaohisi wanao Wapenzi zaidi ya Mmoja! Kama MIMI nilivyokuhisi WEWE. "HAPPY VICHECHE DAY! "
 
Tumeshachoka hizi mambo kila kitu kitakuwa ni sikuku baadala ya tupambane na kazi za kutuongezea kipato haya mambo yanaturudisha juma sana
 
Juzi juzi ilikuwa kavu kavu day leo vicheche day sijuhi kesho itakuwa nini day. Hii ndo abuse of technology.
 
LEO ni Siku ya Watu Wenye Wapenzi zaidi ya Mmoja, Kauli Mbiu:- "EPUKA KUSEMA SINA MWINGINE ZAIDI YAKO". Tuma sms hii kwa Watu unaohisi wanao Wapenzi zaidi ya Mmoja! Kama MIMI nilivyokuhisi WEWE. "HAPPY VICHECHE DAY! "
Sasa mnakutana wapi ili niwalete wadau..................................., au ndio pale pale lady's free!!!!!!
 
hooorrayyy... siku yetu na sisi imetambuliwa....!!:yell:
 
Mmh!! Vicheche hawahawa ninaowajua mimi... Kumbe na wenyewe wanasherehe yao?
Ok FURAHA IWE KWENU jamani
 
Leo vicheche watakwiba kuku sana maana ni siku yao. Madame B umesikia hiyo?
 
Last edited by a moderator:
Vicheche tumeni,

vicheche wa kike au wa kiume? Afu mwenyekiti mie nimeshindwa kusubiri mpaka nitenganishwe na kifo, nimeandika talaka 15 ambazo nitazipitisha ofcn kwako upige sahihi yako tayari kwa kupelekwa kwa Evelyn Salt
 
Last edited by a moderator:
vicheche wa kike au wa kiume? Afu mwenyekiti mie nimeshindwa kusubiri mpaka nitenganishwe na kifo, nimeandika talaka 15 ambazo nitazipitisha ofcn kwako upige sahihi yako tayari kwa kupelekwa kwa Evelyn Salt

ukipeleka hizo talaka nitabaki ofisini kwa Baba V kwa maongezi zaidi.....
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom