Happy vicheche day

Happy vicheche day

vicheche wa kike au wa kiume? Afu mwenyekiti mie nimeshindwa kusubiri mpaka nitenganishwe na kifo, nimeandika talaka 15 ambazo nitazipitisha ofcn kwako upige sahihi yako tayari kwa kupelekwa kwa Evelyn Salt

Mie nipo, nawasubirini mje..
 
Last edited by a moderator:
ukipeleka hizo talaka nitabaki ofisini kwa Baba V kwa maongezi zaidi.....

Slave analalamika eti umekuwa mdau sana wa siku tajwa hapo juu na ndo maana anataka kukupa talaka zote hizo na maskio yote, je (unakiri au unakubali!????)
 
Last edited by a moderator:
Slave analalamika eti umekuwa mdau sana wa siku tajwa hapo juu na ndo maana anataka kukupa talaka zote hizo na maskio yote, je (unakiri au unakubali!????)

Naomba nije kulitolea maelezo ofisini hili, ila Slave asije!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Iko verse isemayo "waacheni wafu, wawazike wafu wenzao!"
either na hapa, "waacheni vicheche wawapongeze vicheche wenzao!"
coz wapo vicheche-dagaa & vicheche-papa!
 
Naomba nije kulitolea maelezo ofisini hili, ila Slave asije!!!!!
wewe kalitolee maelezo tu na mizigo yako nakuletea huko huko.

punda.jpeg
 
ha ha ha niteme babu wewe, mwanaume hata hela huna!!!!!!!!!!!
vyombo vyako nani anavitaka........

hivi uliolewa na mimi au hela ??? umenipukutisha hela zangu nilizokuwa nimejitunzia katika M-PESA ndo maana ukawa hauishi vitimbi eeeeeee?? nakutwanga talaka 50 sasa .
 
hivi uliolewa na mimi au hela ??? umenipukutisha hela zangu nilizokuwa nimejitunzia katika M-PESA ndo maana ukawa hauishi vitimbi eeeeeee?? nakutwanga talaka 50 sasa .

Bila hela usingekuwa wewe, ukivuna mahindi na mpunga wako nitarudi.....
 
Bila hela usingekuwa wewe, ukivuna mahindi na mpunga wako nitarudi.....
na mwaka huu nimeongoza kwa kuwa na mahindi mengi kijijini mean nitkuwa na pochi ya maana ila sitaki uje kuninyakulia maburungutu yangu. wewe hunifai kabisa mie natafuta pesa mwaka mzima wewe unaiteketeza kwa nusu saa tu?
 
na mwaka huu nimeongoza kwa kuwa na mahindi mengi kijijini mean nitkuwa na pochi ya maana ila sitaki uje kuninyakulia maburungutu yangu. wewe hunifai kabisa mie natafuta pesa mwaka mzima wewe unaiteketeza kwa nusu saa tu?

sa unataka kutunza zitage au?
 
Nakusubiri ofisini, au unajiremba kwanza ili uje UNIELEZE vizuri!?!!

Nakuja mwenyekiti, nasubiri muamala kwenye mpesa hapa, Slave tuma haraka unanichelewesha mpenzi, i love u.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom