Umemalizana na SAUT na wameshakupa ID yako ili uweze fanya mtihani bwana mdogo?Vibarua wa serikali na nyongeza ya salary
Kumbe bado ni KIJANA WA CHUO ANATAPIKA MANENO YANAYOMZIDI UMRI.Umemalizana na SAUT na wameshakupa ID yako ili uweze fanya mtihani bwana mdogo?
Ya watumishi wa umma haya kuhusu hangaika na hao sauti hapo mwanza.Serikali leo imeanza mwaka mpya wa fedha, kadhalika hata watumishi leo wameanza mwaka mpya ambapo jambo kubwa linalotarajiwa na watumishi ni nyongeza ya mshahara ambayo leo ndio imeanza kufanya kazi.
Mtumishi umejiandaaje kupokea mshahara mpya?
Wivu tuVibarua wa serikali na nyongeza ya salary
Ukiwa mtumishi unaweza wekewa nyongo ya mamba !!Serikali leo imeanza mwaka mpya wa fedha, kadhalika hata watumishi leo wameanza mwaka mpya ambapo jambo kubwa linalotarajiwa na watumishi ni nyongeza ya mshahara ambayo leo ndio imeanza kufanya kazi.
Mtumishi umejiandaaje kupokea mshahara mpya?
Na uwajibikaji uwepo, siku hizi inaangaliwa pesa tu.Serikali leo imeanza mwaka mpya wa fedha, kadhalika hata watumishi leo wameanza mwaka mpya ambapo jambo kubwa linalotarajiwa na watumishi ni nyongeza ya mshahara ambayo leo ndio imeanza kufanya kazi.
Mtumishi umejiandaaje kupokea mshahara mpya?