sungura1980
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 1,909
- 1,225
Wapendwa wana JF,tunapoadhimisha siku ya leo ya wamama/wanawake duniani,nachukua nafasi hii kukushukuru mama yangu mpendwa kwa kunileta duniani,kunilea na kunifundisha!Nakupenda mama!
Pia napenda kutambua mchango wa wamama wote wa JF katika maisha yangu na maisha ya jamii kwa ujumla!Mama ni kila kitu
Natambua mchango wako laazizi wangu,pumzi yangu,malkia wangu Bantu lady!Natambua mchango wako sister, miss chagga, mwallu, Munkari, shansarie, Lady doctor, DEMBA, Chocs, lara1, Madame B, Lady niece, miss neddy, farkhina, Mamdenyi, Passion Lady, Valentina, Honey Faith, mimi49, The secretary, Ladymassa, Angelicious, Heaven on Earth, amu, Preety,, Karucee,, Kaunga, measkron, Smile,,Watoto wote wa mkuu watu8!Na wote ambao sijawataja lakini ni wamama/wadada wa JF,natambua mchango wenu,ni kwa sababu natumia mchina!Mungu awabariki wamama/wadada wote wa JF na duniani kwa ujumla!Asante malkia wangu Bantu lady kwa upendo wako!
Pia napenda kutambua mchango wa wamama wote wa JF katika maisha yangu na maisha ya jamii kwa ujumla!Mama ni kila kitu
Natambua mchango wako laazizi wangu,pumzi yangu,malkia wangu Bantu lady!Natambua mchango wako sister, miss chagga, mwallu, Munkari, shansarie, Lady doctor, DEMBA, Chocs, lara1, Madame B, Lady niece, miss neddy, farkhina, Mamdenyi, Passion Lady, Valentina, Honey Faith, mimi49, The secretary, Ladymassa, Angelicious, Heaven on Earth, amu, Preety,, Karucee,, Kaunga, measkron, Smile,,Watoto wote wa mkuu watu8!Na wote ambao sijawataja lakini ni wamama/wadada wa JF,natambua mchango wenu,ni kwa sababu natumia mchina!Mungu awabariki wamama/wadada wote wa JF na duniani kwa ujumla!Asante malkia wangu Bantu lady kwa upendo wako!
Last edited by a moderator: