Happy Islami New Year 1431 Hijiriyah

MaxShimba acha ujanja ujanja huo. Tuonyeshe kwenye Bible Yesu aliposema kuwa mimi ni Christ?

Sasa wewe ni nani wa kumkana Allah wako? Kama Allah wako anamwita Yesu CHRIST wewe ni nani kupinga?

Hivi kweli mnafuta vitab vyenu vya deen?
 
Nini shetani, Kapigwa na kusulubiwa vibaya sana Yesu ni kristo?


Hha ahaha ahaha ahahaaaa Waislam mnafurahisha sana. Ni wapi katika Koran yenu panasema hayo kuwa Yesu alisulubiwa? Hebu lete aya ya Koran inayosema kuwa Yesu Kristo alisulubiwa?

Au siku hizi wewe unafuata Biblia ya Mtume Paulo anayewanyima Usingizi?

Inashangaza sana kusikia kutoka kwako leo hii unakiri kuwa YESU KRISTO ALISULUBIWA? Mimi ninacho taka kujuwa JE, WEWE SIKUHIZI UMEUKANA UISLAM NA KUWA MKRISTO? Kama sio, kwanini useme kuwa Yesu Kristo alisulubiwa wakti Koran, Sahihi Hadeeth, Muham-mad, Gabril, Waislam, na Allah wako wanapinga hilo?
 
Mkuu huko juu sana wanapenda ligi ya ubishani lakini wanajua ukweli uko wapi watu wanompiga mawe shetani unadhani wana akili nzuri.
Je wale wanoamini kuwa "Mungu" alfedheheshwa na kudhalilishwa utawaitaje?!
Luke 22 :63 Wale watu waliokuwa wanamchunga Yesu, walimpiga na kumdhihaki.
64 Walimfunga kitambaa usoni, wakawa wanamwuliza, "Ni nani aliyekupiga? Hebu bashiri tuone!"
Mathew 26: 67 Kisha wakamtemea mate usoni, wakampiga makofi. Wengine wakiwa wanampiga makofi,
 
Je wale wanoamini kuwa "Mungu" alfedheheshwa na kudhalilishwa utawaitaje?!
Luke 22 :63 Wale watu waliokuwa wanamchunga Yesu, walimpiga na kumdhihaki.
64 Walimfunga kitambaa usoni, wakawa wanamwuliza, "Ni nani aliyekupiga? Hebu bashiri tuone!"
Mathew 26: 67 Kisha wakamtemea mate usoni, wakampiga makofi. Wengine wakiwa wanampiga makofi,

Hha ahaha ahaha ahahaaaa Waislam mnafurahisha sana. Ni wapi katika Koran yenu panasema hayo kuwa Yesu alisulubiwa? Hebu lete aya ya Koran inayosema kuwa Yesu Kristo alisulubiwa?

Au siku hizi wewe unafuata Biblia ya Mtume Paulo anayewanyima Usingizi?

Inashangaza sana kusikia kutoka kwako leo hii unakiri kuwa YESU KRISTO ALISULUBIWA? Mimi ninacho taka kujuwa JE, WEWE SIKUHIZI UMEUKANA UISLAM NA KUWA MKRISTO? Kama sio, kwanini useme kuwa Yesu Kristo alisulubiwa wakti Koran, Sahihi Hadeeth, Muham-mad, Gabril, Waislam, na Allah wako wanapinga hilo?

Be careful of what you say.

Sisi Wakristo tunampa heshma kubwa sama Yesu Kristo wetu alipo kufa mslabani. Hapo ndipo ulikuwa mwanzo wa INJILI YA YESU KRISTO KWA MATAIFA YOTE. MWANZO WA KUSAMEHEWA DHAMBI KWA JINA LA YESU, MWANZO WA KWENDA MBINGUNI KUPITIA YESU, MWANZO WA BARAKA ZA MUNGU KWETU. MWANZO WA MAISHA MATAMU KWA YESU. MWANZO WA KILA JAMBO ZURI AMBALO MUNGU ANATAKA TUFANYE AU PATA KUPITIA YESU, MWANZO WA KUPONYWA KUPITIA YESU, MWANZO WA UHAKIKISHO WA MAISHA BAADA YA KIFO KUPITIA YESU, NK. NK .

Yesu Kristo alikufa mslabani na akafufuka, lakini Marehemu Muham-mad Mtume wa Islam yeye alipokula sumu, Allah na Gabril walifanya maombi makubwa lakini jamaa alikufa na bado amekufa na anasubiri hukumu kutoka kwa Yesu Kristo.

Sasa kwanini nifuate Mtume Marehemu Muham-mad ambaye ni HAYATI na anasubiri hukumu kutoka kwa Yesu? Kwanini nifuate Allah na Gabril ambao hata kumponya tu SWAHIBA WAKE MAREHEMU MUHAM-MAD Mtume wake pekee wa Islam, WALISHINDWA? Allah wenu na Gabril wenu ni sifuri kabisa.
 
Be careful of what you say.

Sisi Wakristo tunampa heshma kubwa sama Yesu Kristo wetu alipo kufa mslabani

Yesu Kristo alikufa mslabani na akafufuka, .
Matthew 12:40: "For as Jonas was three days and three nights in the whale's belly, so shall the Son of Man be three days and three nights in the heart of the earth."
Disregard the time factor, which was not three days and three nights but one day (Saturday, daytime only) and two nights (Friday night and Saturday night).
Pili, Jonah alikuwa mzima au amekufa katika tumbo la samaki?
 
Matthew 12:40: "For as Jonas was three days and three nights in the whale's belly, so shall the Son of Man be three days and three nights in the heart of the earth."
Disregard the time factor, which was not three days and three nights but one day (Saturday, daytime only) and two nights (Friday night and Saturday night).
Pili, Jonah alikuwa mzima au amekufa katika tumbo la samaki?


Jonah alikuwa hai, ndio maana Biblia inasema kuwa alikuwa anaomba. Sasa sijui kama utaweza kuomba ukiwa umekufa.Hivi wewe uliisoma hiyo habari? Mbona swali lako linaonyesha hujasoma habari ya Jonah kamili?
 
Matthew 12:40: "For as Jonas was three days and three nights in the whale's belly, so shall the Son of Man be three days and three nights in the heart of the earth."
Disregard the time factor, which was not three days and three nights but one day (Saturday, daytime only) and two nights (Friday night and Saturday night).
Pili, Jonah alikuwa mzima au amekufa katika tumbo la samaki?

Huyu jamaa alijidai kuja na mkwala kweli kumbe hata maandiko yenyewe hayajui ndiyo maana naona mkuu Max uliamua kupiga kimya.
 
Huyu jamaa alijidai kuja na mkwala kweli kumbe hata maandiko yenyewe hayajui ndiyo maana naona mkuu Max uliamua kupiga kimya.

Ndugu yangu, hawa jamaa wao ni kukariri tu na kufikri wanajua. Wanatia aibu sana hawa.
 
Je wale wanoamini kuwa "Mungu" alfedheheshwa na kudhalilishwa utawaitaje?!
Luke 22 :63 Wale watu waliokuwa wanamchunga Yesu, walimpiga na kumdhihaki.
64 Walimfunga kitambaa usoni, wakawa wanamwuliza, "Ni nani aliyekupiga? Hebu bashiri tuone!"
Mathew 26: 67 Kisha wakamtemea mate usoni, wakampiga makofi. Wengine wakiwa wanampiga makofi,


.

Huyu kweli Mungu huyu ?.


Huu ni uthibitisho dhahiri kwa uungu wake. Yesu aliutoa uhai wake kwa uamuzi wake mwenyewe, na ana uwezo wa kuurudisha uhai wake mwenyewe, Hakuna aliemlazimisha ila alifanya kwa ridhaa yake mwenyewe.
Na hii ni uthibitisho tosha juu ya nguvu za Yesu juu ya kifo na Mauti.

John 10:15-18 (KJV)

As the Father knoweth me, even so know I the Father: and I lay down my life for the sheep. 16 And other sheep I have, which are not of this fold: them also I must bring, and they shall hear my voice; and there shall be one fold, and one shepherd. 17 Therefore doth my Father love me, because I lay down my life, that I might take it again. 18 No man taketh it from me, but I lay it down of myself. I have power to lay it down, and I have power to take it again. This commandment have I received of my Father.


Je Mohamad alikua na uwezo wa kutoa uhai wake na kisha kuurudisha tena? Mohammad si alikufa tu kama mtu mwingine yeyote anavyokufa? Kibaya zaidi tena aliwekewa sumu? Hivi kwanini walimuua kwa sumu?
Je inakuwaje munaweka tumaini la kufufuliwa na Mohammed wakati yeye mwenyewe alishindwa kujifufua?

Free advise to Mohammedans, Do not base your faith on the dead false prophet and expect to be resurrected by a dead man
 
Huu ni uthibitisho dhahiri kwa uungu wake. Yesu aliutoa uhai wake kwa uamuzi wake mwenyewe, na ana uwezo wa kuurudisha uhai wake mwenyewe, Hakuna aliemlazimisha ila alifanya kwa ridhaa yake mwenyewe.
Na hii ni uthibitisho tosha juu ya nguvu za Yesu juu ya kifo na Mauti.

John 10:15-18 (KJV)

As the Father knoweth me, even so know I the Father: and I lay down my life for the sheep. 16 And other sheep I have, which are not of this fold: them also I must bring, and they shall hear my voice; and there shall be one fold, and one shepherd. 17 Therefore doth my Father love me, because I lay down my life, that I might take it again. 18 No man taketh it from me, but I lay it down of myself. I have power to lay it down, and I have power to take it again. This commandment have I received of my Father.

Je Mohamad alikua na uwezo wa kutoa uhai wake na kisha kuurudisha tena? Mohammad si alikufa tu kama mtu mwingine yeyote anavyokufa? Kibaya zaidi tena aliwekewa sumu? Hivi kwanini walimuua kwa sumu? Je inakuwaje munaweka tumaini la kufufuliwa na Mohammed wakati yeye mwenyewe alishindwa kujifufua?

Free advise to Mohammedans, Do not base your faith on the dead false prophet and expect to be resurrected by a dead man[/QUOTE]


Jamani tuwe wawazi kidogo japo hata kwa kutumia akili kidogo.

Inawezekana vipi niibe mimi , ukafungwe wewe. Hata Mbana Yesu mwenyewe alisema KILA MTU ATALICHUKUA FURUSHI LAKE MWENYEWE.

Sasa Wagalatia msijidanganye kwa hilo.

Na vile vile kama kweli kajitolea maisha yake kwa ajili yenu. Kwanini mnakwenda kanisani kuomba, na kwanini mnasimama kwa mapadre wenu kuungama dhambi zenu.




Inasikitisha kuona Mungu anateswa namna hii na wanadamu, Tena kibaya zaidi jamaa walifikia mpaka kumfanya vibaya nyuma na kisha wakamtundika.

Mungu gani huyu Shoga.

Ushauri kwa wagalatia. jamani juweni kuwa kila mtu atalichukua furushi lake mwenyewe. Msikalie Yesu kuwa amewatakasa. Hata Mungu kwenye Bible kasema wazi Amelaaniwa yule atundikwaye juu a Mti. Hivyo Yesu ameshalaaniwa kama alitungikwa. Achaneni naye shoga huyo
 
MaxShimba acha ujanja ujanja huo. Tuonyeshe kwenye Bible Yesu aliposema kuwa mimi ni Christ?

Najua huna ubishi kwamba neno "Christ" ni tafsiri ya kigiriki kwa neno "Messiah". Hivyo kimahesabu tunasema Christ=Kristo=Messiah=Masiha.

Baada ya mahesabu hayo fungua MARK (Marko) 14:59-62 inasema hivi:

-Basi Kuhani Mkuu akasimama na kumsogelea Yesu na kumuuliza "Hujibu Neno? Ni nini wanachokushitaki hawa". Yesu alikaa kimya bila kujibu neno. Kwa mara nyingine Kuhani akamsemesha "Je wewe ni Kristo mwana wa mbarikiwa"? Yesu akasema "Ndiye mimi, na utamwona mwana wa mtu amesimama upande wa kuume akija toka mawinguni"

Mzee nadhani umepata ulichoulizia kwa muda mrefu.
 
Inasikitisha kuona Mungu anateswa namna hii na wanadamu, Tena kibaya zaidi jamaa walifikia mpaka kumfanya vibaya nyuma na kisha wakamtundika.

Mungu gani huyu Shoga.
Naomba ushaidi wa maandiko iwe kwenye quran au biblia juu ya hilo................ Wasiwasi wangu ni kuwa inawezekana kuwa tunaongozwa na hisia badala ya hali halisi.............
 
Kilakitu chenu nyie kiko nyuma tu...Mwaka wenu nyuma...Maandishi ya kitabu chenu nyumanyuma...In short its a total confusion!...By ze way, happy nyu yia!

CHINJACHINJA KATIKA BIBLE!

Tazama Bible inavyo amrisha kuchinjachinja.

Kill old men, young men and maidens, women and children in the Bible:

In Ezekiel 9:5-10:

The LORD called to a man and said to him, "Go throughout Jerusalem and put a mark on the foreheads of those who grieve and lament over all the detestable things that are done in it."

Then, the LORD said to other men (the guards of the city with deadly weapons in their hands):
"Follow him through the city
And kill, without showing pity
And kill, without showing any compassion

Who have to be killed?
1) Slaughter old men,
2) Slaughter young men and
3) Slaughter maidens,
4) Slaughter women and
5) Slaughter children,
But do not touch anyone who has the mark.
Begin at my sanctuary."
So they began with the elders who were in front of the temple.

Ezekiel 9:5-10 in New International Version (NIV)

Now the glory of the God of Israel went up from above the cherubim, where it had been, and moved to the threshold of the temple. Then the LORD called to the man clothed in linen who had the writing kit at his side and said to him, "Go throughout the city of Jerusalem and put a mark on the foreheads of those who grieve and lament over all the detestable things that are done in it."
As I listened, he said to the others, "Follow him through the city and kill, without showing pity or compassion. Slaughter old men, young men and maidens, women and children, but do not touch anyone who has the mark. Begin at my sanctuary." So they began with the elders who were in front of the temple.
Then he said to them, "Defile the temple and fill the courts with the slain.

See again,

Who have to be killed?

1) Slaughter old men,
2) Slaughter young men and
3) Slaughter maidens,
4) Slaughter women and
5) Slaughter children,
 
Hivi huu mwaka umetajwa kwenye aya ipi ya Quran ambayo ilidaiwa "kushushwa," na kama haujatajwa una uhalali upi (kama Quran yenyewe ni halali anyway)?

Wanakuuliza khabarai ya miezi. Sema: Hiyo ni vipimo vya nyakati kwa ajili ya watu na Hija. Wala sio wema kuziingia nyumba kwa nyuma. Bali mwema ni mwenye kuchamngu. Na ingieni majumbani kupitia milangoni. Na mcheni Mwenyezi Mungu ili mpate kufanikiwa.
(Quran 2:1189)

Hakika idadi ya miezi kwa Mwenyezi Mungu ni miezi kumi na mbili katika hukumu ya Mwenyezi Mungu tangu alipo umba mbingu na ardhi. Katika hiyo iko mine mitakatifu. Hiyo ndiyo Dini iliyo sawa. Basi msidhulumu nafsi zenu humo. Na piganeni na washirikina wote kama wao wnavyo pigana nanyi nyote. Na jueni kuwa Mwenyezi Mungu yu pamoja na wachamngu.
(Quran 9:36)
 
Wanakuuliza khabarai ya miezi. Sema: Hiyo ni vipimo vya nyakati kwa ajili ya watu na Hija. Wala sio wema kuziingia nyumba kwa nyuma. Bali mwema ni mwenye kuchamngu. Na ingieni majumbani kupitia milangoni. Na mcheni Mwenyezi Mungu ili mpate kufanikiwa.
(Quran 2:1189)

Hakika idadi ya miezi kwa Mwenyezi Mungu ni miezi kumi na mbili katika hukumu ya Mwenyezi Mungu tangu alipo umba mbingu na ardhi. Katika hiyo iko mine mitakatifu. Hiyo ndiyo Dini iliyo sawa. Basi msidhulumu nafsi zenu humo. Na piganeni na washirikina wote kama wao wnavyo pigana nanyi nyote. Na jueni kuwa Mwenyezi Mungu yu pamoja na wachamngu.
(Quran 9:36)


Swadaka Allah Liathimu
 
CHINJACHINJA KATIKA BIBLE!

Tazama Bible inavyo amrisha kuchinjachinja.

Kill old men, young men and maidens, women and children in the Bible:

In Ezekiel 9:5-10:
The LORD called to a man and said to him, "Go throughout Jerusalem and put a mark on the foreheads of those who grieve and lament over all the detestable things that are done in it."

Then, the LORD said to other men (the guards of the city with deadly weapons in their hands):
"Follow him through the city
And kill, without showing pity
And kill, without showing any compassion

Who have to be killed?
1) Slaughter old men,
2) Slaughter young men and
3) Slaughter maidens,
4) Slaughter women and
5) Slaughter children,
But do not touch anyone who has the mark.
Begin at my sanctuary."
So they began with the elders who were in front of the temple.

Ezekiel 9:5-10 in New International Version (NIV)

Now the glory of the God of Israel went up from above the cherubim, where it had been, and moved to the threshold of the temple. Then the LORD called to the man clothed in linen who had the writing kit at his side and said to him, "Go throughout the city of Jerusalem and put a mark on the foreheads of those who grieve and lament over all the detestable things that are done in it."
As I listened, he said to the others, "Follow him through the city and kill, without showing pity or compassion. Slaughter old men, young men and maidens, women and children, but do not touch anyone who has the mark. Begin at my sanctuary." So they began with the elders who were in front of the temple.
Then he said to them, "Defile the temple and fill the courts with the slain.

See again,

Who have to be killed?

1) Slaughter old men,
2) Slaughter young men and
3) Slaughter maidens,
4) Slaughter women and
5) Slaughter children,

Lahaula wala kuwata.
 
Sikiliza Allah wako anasemaje na kukujibu wewe usie juwa Koran.

O People of the Book! Commit no excesses in your religion: Nor say of Allah aught but the truth. Christ Jesus the son of Mary was (no more than) a messenger of Allah and His Word, which He bestowed on Mary, and a spirit proceeding from Him

They take their priests and their anchorites to be their lords in derogation of Allah, and (they take as their Lord) Christ the son of Mary; yet they were commanded to worship but One Allah

Qur’an 9:31 They have taken their doctors of law and their monks for lords besides Allah, and (also) the Messiah son of Marium

Haya sasa, pingana na pigana na Allah wako. Maana ninyi wafuasi wa Koran huwa ni watupu kweli kweli.


Hakika sasa unakufuru. Mimi nimepitia Quran yote kwa maana ya Sura zote 114 na aya zote 6236, nabii Eissa ametajwa mara 19 tu na mara zote wamesema Eisa Bin mariam na hata ukipita kwenye tafsiri mbali wamemwita Mesiah son of Mariam.

Hakuna Neno kristo. labda Hiyo tafsiri ni zenu kanisani kuhalalisha hilo neno Mpakwa mafuta.
 
Sikiliza Allah wako anasemaje na kukujibu wewe usie juwa Koran.

O People of the Book! Commit no excesses in your religion: Nor say of Allah aught but the truth. Christ Jesus the son of Mary was (no more than) a messenger of Allah and His Word, which He bestowed on Mary, and a spirit proceeding from Him

Mbona unakata Aya na kuiandika hapa nusu tu, hii aya kamili inasema hivi,

Enyi Watu wa Kitabu! Msipite kiasi katika dini yenu, wala msimseme Mwenyezi Mungu ila kwa lilio kweli. Hakika Masihi Isa mwana wa Maryamu ni Mtume wa Mwenyezi Mungu, na neno lake tu alilo mpelekea Maryamu, na ni roho iliyo toka kwake. Basi Muaminini Mwenyezi Mungu na Mitume wake. Wala msiseme: Utatu. Komeni! Itakuwa kheri kwenu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mungu mmoja tu. Ametukuka Yeye na kuwa na mwana. Ni vyake Yeye vyote viliomo katika mbingu na katika ardhi. Na Mwenyezi Mungu ni Mtegemewa wa kutosha.
(Quran 4:171)
 
Jonah alikuwa hai, ndio maana Biblia inasema kuwa alikuwa anaomba. Sasa sijui kama utaweza kuomba ukiwa umekufa.Hivi wewe uliisoma hiyo habari? Mbona swali lako linaonyesha hujasoma habari ya Jonah kamili?
Vizuri sana! kwa hiyo Yesu alikuwa hai kama alivyotabiri katika Mathew 12:40! as Jonah was in the heart of the fish"! Allahu Akbar.
Sasa unaniambia Jonah alikuwa hai kwa hiyo Yesu alikuwa HAI kama alivyotabiri!
 
Back
Top Bottom