Happy Holidays 2008-09...

Ila niulize kitu kimoja tu hapa.... Sioni icon ya HOME Au ni macho yangu tu
Swali zuri, ili kurejea HOME basi bonyeza kwenye banner yenye Bwana Krismasi:
logo.jpg



 
nawatakieni wana JF wooose pyuu na wa Tanzania wote kwa ujumla kasoro mafisadi na watetea ufisadi heri na fanaka oops i mean nafaka katika kusherehekea kimasi masi

Happy xmas n merry new year!

NB im luvin de changes!yapendeza kwa kweli well done mliohusika!
 
Nawatakia Heri ya Xmas na mwaka mpya wa 2009..Mungu aibariki JF na wanaJF wote ili wazidi kukaza uzi katika mwaka mpya wa 2009..Keep it up JF...ALUTA CONTINUA
 
Wote kabisa nawapa masalamu yangu ya mwaka mpya 2009 na Krismasi na kusema mwaka 2008 kwa Heri .Mungu awe nanyi wote na tuzidi kukata issues hapa kwa ukweli na uhakika .
 
.........Best wishes to All JF members and guests.....kuelekea kufunga mwaka........
 
Invisible,

Nashukuru sana kwa kutuweka live hapa kijiweni katika kipindi cha mwaka mzima wa 2008pamoja na suruba zake, toka Jamboforums had Jamiiforums.
Mkuu tupo ukurasa mmoja, lakini hii ya Jambo to Jamii inanikumbusha dhahma ya mwaka!

Sijui 2009 kutakuwaje? Manake ndo Election 2010 itakuwa mlangoni... Let's pray for the best.
 
Tuimbe

kiitikio:Vigelelegele!!!

Wau!
'Where we Dare To 'Say'-Meri Krismas na Hepi Nyu Yia!

Rudia Kiitikio:

God Blesi Afrika-God Blesi Tanzania...Hold-Up And God Bless you All, JF Members From JF Ville to 'Danganyika Ville'


Rudia Kiitikio:

Kwa usionekana na kuonekana Dole tupu!

Rudia Kiitikio:

KULA BREKI!!!
 
May God Bless All JF Members and their families
May God Bless Africa
May the Almighty God Bless Tanzania.
 
Mbona music hazionekani tena! Night kali hii nilikuwa nina tabia ya kula songs za dini mpaka morning. Sasa hivi father christmas kama ndiyo inakuja at the expense za zile clicks za musics, better remove. Unless I dont know how to access the nyimbos.
 
:confused:
Ni mimi tu au ni vipi?? maana sizioni Zilipendwa, bongo fleva, injili, kama ilivyokuwa mwanzo??
 
Hii malalamiko mbona haijibiwa Mod?
You make me laugh. Kwani kazi ya Mods ni kujibu malalamiko tu mkuu wangu?

Read my Yesterday Response at 10:35 PM, I doubt umeanzisha topic kabla hujaisoma hiyo mkuu. Happy Holidays anyway :)
 
Inv. ungeweka hali ya kiafrika zaidi hiyo mibarafu inakuwa kama ulaya ulaya au marekani
 
Mkuu Invisible, congrats kwa nyuu appearance, inavutia na inaenda na wakati.

I've one suggestion; in second page after index page (e.g. Jukwaa la Siasa, etc.) it would rather be helpful if you add a column that shows date of when thread created. This may help contributors to know "in advance" the age of the thread and pay attention to its history rather than re-event the wheel (wakati mwinge unachangia kumbe member mwingine alishachangia same idea miaka miwili iliyopita kwenye same thread).

Ni hilo mkuu!
 
Duh
Mkuu Usiyeonekana asante
Nimegundua JF wacheshi mko wengi! Big up, next time utuwekee na kabeberu!
 
....kuna angalizo limetolewa ni muhimu kulitekeleza. Kwamba kuepuka ubaguzi ni vizuri na Sikukuu za Eid, JF ibadilishe muonekano kama ilivyokuwa sasa.
 
Back
Top Bottom