Happy Father's Day Dadii. Mwaah!

Aaahahahahahaa yaani hizi beats za Dudukee zinanipelekesha, zinanipaisha hadi zinapanda kisha zinanishusha hadi zinashuka...

Hapana chezea my Dudukee, he is my one and only. He is unique and of his own.

I adores him before, now and always will, many kisses to him....Duuduukee.

Hata sichoki kumsifia, na kama ana mabaya yake hata sioni kwa raha na utamu ninaosikia.

I thank God the day I met him cause he is my Duuduukeee.

Keendhyyyyyy, shkamoo aahahahahhaaaaaa.
Kabibi ka watu kamerogwa..
Hivi wanaorogaga mpk vibibi wanawazaga Nini..😂
 
Kabibi ka watu kamerogwa..
Hivi wanaorogaga mpk vibibi wanawazaga Nini..😂

Aahahahahahaaaaaa hili bichwa la Kasie sijui likoje, yaani kwa kila jambo linalotukia najikuta tuu kuna wimbo unanijia kichwani...

Acha niimbe kwanza,...
''wiivuuu hanaaa ila roho inamuumaa eeehhh
Wivu hana ila roho inamuuma eeehhh
Munene na munenee eeh eeh eeh eeh
Mwembamba na mwembamba aah aah aah aah
Mufupi na mufupi iih iih iih iih
Mzee na mzee eeh eeh eeh eeh eeh..
Wivu hana, wivu hana ila roho ina muuma aahahahahaaaa''

Ila tuache utani, yaani kwa jinsi Dadii alivyonikoroga, kanibakishia blangata ya kwenda haja ndogo na kubwa tuu
Kanikoroga haswaaa hakuna mahali ameniacha
Nimehorojeka nyoronyoroo
Dadiii nakumbuka ule wimbo ulinitumiaga, acha niimbe tena...

''Nikiwa chizi ni weewee, aahh eehh we ndo sababu
Sitaki moyo wangu uchezewe aaahhhh eeeh ntapata tabuu
Nnachotaka kuzaa na weeweee, aaah eeehh pendo lako la dhahabu
Nije kuzeeka na weeweee, aaahh eeeh bibi na babu...

....Moyo wangu mi nakupa baby, usasambue, usasambue..
Mi nakupa, usasambue, sasambue,
Fanya unavyotaka, usasambue, usasambue
Ubakishe mifupa, usasambue, usasambue
Uniburuze kama guta, usasambue usasambue
Usasambue, usasambue Dadii Dudukeee...''

Kwa Dadii Duduke, acha aniroge tuu.

Utamu napata mie.
 
Wake wa siku hizi gubu dharau kiburi kimewajaa.
Nyie hata mpikwe mpewe midomo na kila kitu kweli hamnaga shukurani yaani hamna hata akitokea kimjambio tu barabarani utamwangalia kisa sio mkeo basi .

Mnatakiwa siku ya mwishoo muongeze moto kwa maana mnatakiwa mchomwe kisawa sawa .
 
Aahahahahahaaaaaa hili bichwa la Kasie sijui likoje, yaani kwa kila jambo linalotukia najikuta tuu kuna wimbo unanijia kichwani...

Acha niimbe kwanza,...
''wiivuuu hanaaa ila roho inamuumaa eeehhh
Wivu hana ila roho inamuuma eeehhh
Munene na munenee eeh eeh eeh eeh
Mwembamba na mwembamba aah aah aah aah
Mufupi na mufupi iih iih iih iih
Mzee na mzee eeh eeh eeh eeh eeh..
Wivu hana, wivu hana ila roho ina muuma aahahahahaaaa''

Ila tuache utani, yaani kwa jinsi Dadii alivyonikoroga, kanibakishia blangata ya kwenda haja ndogo na kubwa tuu
Kanikoroga haswaaa hakuna mahali ameniacha
Nimehorojeka nyoronyoroo
Dadiii nakumbuka ule wimbo ulinitumiaga, acha niimbe tena...

''Nikiwa chizi ni weewee, aahh eehh we ndo sababu
Sitaki moyo wangu uchezewe aaahhhh eeeh ntapata tabuu
Nnachotaka kuzaa na weeweee, aaah eeehh pendo lako la dhahabu
Nije kuzeeka na weeweee, aaahh eeeh bibi na babu...

....Moyo wangu mi nakupa baby, usasambue, usasambue..
Mi nakupa, usasambue, sasambue,
Fanya unavyotaka, usasambue, usasambue
Ubakishe mifupa, usasambue, usasambue
Uniburuze kama guta, usasambue usasambue
Usasambue, usasambue Dadii Dudukeee...''

Kwa Dadii Duduke, acha aniroge tuu.

Utamu napata mie.
Kasie Matata upo?
 
Hongeren wababa wte mliopo hum,niwatakie happy father's day,ila kama wew n baba na unamchepuko nje hii hongera yangu usichukue,nawale wa baba ambao mlizalisha hamjaoa ila mnalea watoto wenu mbarikiwe pia,ila kama ulizalisha alafu hujui kulea wew pita kushoto
Asante
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom