KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 26,215
- 56,855
Naona umeamua kunichamba Sasa!!Aaahahahahahaaa Keendhhyyyy acha wivuuu.... Siku kama ya leo Dadii namuogesha, nampikia, namlisha kisha nambeba na kumbembeleza alale usingizi.
Ungekuwa umeanza kulea mwana ningekuletea keki ya Father's Day. Ongeza bidii na kujituma upate kopi duniani ehehehehee.
Nitazaa nawe hivyohivyo naubibi wako hata kama kale ka age umekapita nitakuonyesha how do i do to do the do of the dudu..😜
Mi ndo sniper wa kitandani mama na Mimi si yule wakusema penye miti hapana wajenzi!!.. Mimi si lile zimwi linalokula halafu halikwishi!!..
Mimi ni kenzy mtenzi ninaejua mapenzi bila kuchapa makwenzi..
You get it girl wa zamani..😜😅