Leo ni siku ya uvaaji chupi duniani.
Watu wote wanasherehekea kwa
kutaja rangi za chupi aliyovaa leo.
Je yako ina rangi gani?
1. Ukikaa kimya maana yake leo
hujavaa. 2. Usipojibu kwa maandishi maana
yake umevaa chupi chafu.
3. Ukicheka maana yake utakuwa
umevaa iliyochanika.
4. Ukimwonyesha ujumbe huu aliye
karibu yako maana yake utakuwa umevaa oversize.
Happy Chupi Day
mmmh...kuna watu huwa awavai kabisa,siku kama ya leo itumike kuwahamasisha wale wasiopenda kuva pichu,....yaani mimi nashanga inawezekanaje kitumbua kukaa wazi?dah...dunia ina watu kwel..,
Leo ni siku ya uvaaji chupi duniani.
Watu wote wanasherehekea kwa
kutaja rangi za chupi aliyovaa leo.
Je yako ina rangi gani?
1. Ukikaa kimya maana yake leo
hujavaa. 2. Usipojibu kwa maandishi maana
yake umevaa chupi chafu.
3. Ukicheka maana yake utakuwa
umevaa iliyochanika.
4. Ukimwonyesha ujumbe huu aliye
karibu yako maana yake utakuwa umevaa oversize.
Happy Chupi Day