Happy Born Day to me

Happiest Birthday Rafiki yangu, Mwenyezi Mungu akusimamie daima wewe pamoja na familia yako..!!

Usiache kumsalimia Mama ....!!

Nb; hivi ile culture ya jina langu ndiyo ikapeperushwa na upepo??!
 
Happiest Birthday Rafiki yangu, Mwenyezi Mungu akusimamie daima wewe pamoja na familia yako..!!

Usiache kumsalimia Mama ....!!

Nb; hivi ile culture ya jina langu ndiyo ikapeperushwa na upepo??!
Nashukuru sana rafiki ubarikiwe

Sasa tatizo ulipotea kimya kimya hadi nikaondoka kwa jamaa ila bado tunaweza ichukua pia 😀😀
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom