jamani mtu alikuwa anajivunia mafanikio ya mwanae ana haki pia!ni mbibi hata shule haijui but his son akawa jaji mkuu tz.Inaonekana mwanawe alikuwa motivated sana pamoja na kutoka familia maskini but hakutumia as an excuse na aliwork hard hadi akafika hapo alipokuwa
ikiwa leo ni tarehe 24 september unapokumbuka siku yako ya kuzaliwa, napenda kukutakia maisha mema na yenye mafanikio.
Tumetoka mbali pamoja kama mdau wa jf na tumekuwa pamoja katika mijadala mbalimbali na hujatutupa.
Kwa niaba ya uongozi wa jf, tunapenda kukutakia furaha tele katika kuadhimisha siku hii ambayo tunaamini ni muhimu kwako na kwa familia yako.
Mungu akujalie maisha marefu na akuongezee hekima.
Happy birthday mkuu!
Happy birth day kamanda......!
Unafiki mtupu! wewe si uleikuwa unamshambulia Zitto hapa leo kawa "kamanda"
hongera!Ikiwa leo ni tarehe 24 September unapokumbuka siku yako ya kuzaliwa, napenda kukutakia maisha mema na yenye mafanikio.
Tumetoka mbali pamoja kama mdau wa JF na tumekuwa pamoja katika mijadala mbalimbali na hujatutupa.
Kwa niaba ya uongozi wa JF, tunapenda kukutakia furaha tele katika kuadhimisha siku hii ambayo tunaamini ni muhimu kwako na kwa familia yako.
Mungu akujalie maisha marefu na akuongezee hekima.
Happy Birthday mkuu!
Ikiwa leo ni tarehe 24 September unapokumbuka siku yako ya kuzaliwa, napenda kukutakia maisha mema na yenye mafanikio.
Tumetoka mbali pamoja kama mdau wa JF na tumekuwa pamoja katika mijadala mbalimbali na hujatutupa.
Kwa niaba ya uongozi wa JF, tunapenda kukutakia furaha tele katika kuadhimisha siku hii ambayo tunaamini ni muhimu kwako na kwa familia yako.
Mungu akujalie maisha marefu na akuongezee hekima.
Happy Birthday mkuu!