myhem
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 933
- 358
Napenda kuchukua nafasi hii kuwapongeza wale wote waliojiunga jf siku kama ya leo ikiwamo mimi mwenyewe.Naamini kuwa wengi wao wametoa michango mizuri sana ambayo kwa namna moja ama nyingine imesaidia kubadili mitazamo ya wengi wetu juu ya mambo ambayo hatuyajui vizuri.
Nawatakieni kila la heri muweze kuendelea kutoa elimu ya bure humu jukwaani.
Nawatakieni kila la heri muweze kuendelea kutoa elimu ya bure humu jukwaani.