Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,586
- 50,683
- Thread starter
- #141
Hupaswi kumcheka mtu yeyote kwa ugumu anaoupitia au changamoto anazopitia..ni mbaya sana..Walivyokongoroka
Huwa najaribu kuvaa kiatu cha mhusika ambae anapitia wakati ambao haufurahii..na hii imekuwa ikinitesa sana kwenye maisha ya kawaida.
Haijalishi mtu alikuwa mrembo kiasi gani akakongoroka,akawa kwenye maisha ya chini usijaribu hata kwa bahati mbaya kumcheka haipendezi.
Maisha yananyakati..ukiweza kujitunza vizuri mpka uzeeni na huku una afya tele!!basi ni jambo la kumshukuru Mungu aketie mahali Patakatifu.🥂🧚♀️