Happy Birthday to me, JamiiForums please wish me

MzeeKipusa

JF-Expert Member
Feb 10, 2023
2,706
4,923
Habari za wakati huu ndugu zangu.

Leo ni birthday yangu. Nawamiss sana watoto wenzangu tuliozaliwa wote pale Hospitali ya Ocean Road, Dar es Salaam. Nakumbuka tulilia sana siku ile, ilikua ni fujo balaa. Mama zetu walihangaika sana kutumbeleza lakini wapi.

Happy birthday to me.
 
Habari za wakati huu Ndugu zangu,...

Leo ni birthday yangu..,

Nawamiss sana watoto wenzangu tuliozaliwa wote pale Hospitali ya OSHENIRODI, Daslamu. Nakumbuka tulilia sana siku ile....ilikua ni fujo balaa...Mama zetu walihangaika sana kutumbeleza lakini wapi...

Happy birthday to me.
Mkuu wewe ni ME au KE?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom