MzeeKipusa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,706
- 4,923
Habari za wakati huu ndugu zangu.
Leo ni birthday yangu. Nawamiss sana watoto wenzangu tuliozaliwa wote pale Hospitali ya Ocean Road, Dar es Salaam. Nakumbuka tulilia sana siku ile, ilikua ni fujo balaa. Mama zetu walihangaika sana kutumbeleza lakini wapi.
Happy birthday to me.
Leo ni birthday yangu. Nawamiss sana watoto wenzangu tuliozaliwa wote pale Hospitali ya Ocean Road, Dar es Salaam. Nakumbuka tulilia sana siku ile, ilikua ni fujo balaa. Mama zetu walihangaika sana kutumbeleza lakini wapi.
Happy birthday to me.