Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,334
- 23,940
Ni siku kama ya leo miaka thelatha karibia
tarehe kama ya leo asubuhi iliwadia
upepo na vipepeo angani vilirukia
kazaliwa bwana Mentor namshukuru Muumba.
baba kapigiwa simu kidume mejipatia
akaiacha kalamu mitihani kakimbia
imemjaa mihamu mtoto kumpokea
kazaliwa bwana Mentor namshukuru Muumba.
Miaka mingi mepita vikwazo nazo huzuni
furaha nimezipata na ya simanzi moyoni
kwa neema nimepata kuona mema machoni
kazaliwa bwana Mentor namshukuru Muumba.
:A S-baby:
tarehe kama ya leo asubuhi iliwadia
upepo na vipepeo angani vilirukia
kazaliwa bwana Mentor namshukuru Muumba.
baba kapigiwa simu kidume mejipatia
akaiacha kalamu mitihani kakimbia
imemjaa mihamu mtoto kumpokea
kazaliwa bwana Mentor namshukuru Muumba.
Miaka mingi mepita vikwazo nazo huzuni
furaha nimezipata na ya simanzi moyoni
kwa neema nimepata kuona mema machoni
kazaliwa bwana Mentor namshukuru Muumba.
:A S-baby: