Happy birthday to me ~ mamaafacebook

Happy birthday my dia bibi yangu

Wow mjukuu huyooo asante mjukuu wangu kwa kunitakia heri ya siku ya kuzaliwa kwangu meno yote sasa yanapukutika mdomoni babu yako naona hatak kuuachia ujana
 
Have a long life lke a tortose,good life lke a bil gate,happy life lke me vile.
Kuna keki nilikutengenezea ila bahati mbaya kwangu kuna panya na washaifanyia shughuli.
Hp bday.
 
Have a long life lke a tortose,good life lke a bil gate,happy life lke me vile.
Kuna keki nilikutengenezea ila bahati mbaya kwangu kuna panya na washaifanyia shughuli.
Hp bday.

Owh asante sana fanya kuniletea hicho.kipande kilichobakia
 
Jeuri sikufunza,kukaa kimya mbele ya mjinga hilo nimesisitiziwa- mamaa faceboo. Happy B!!!
 

aaah jaman ubusy huu... nilikua sijaiona hii shem darling wangu!!!! nakuja na zawadi kede kede uko, ntamuachia wifi yako Mafikizolo
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…