Junior. Cux
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 5,319
- 3,797
Jamani kila mtu humu ana familia?Bado mie tu?Duh!nifanye nitafute familia
itabidi nikuoe mke wa pili uingie kwenye ukoo wetu mummy....
Jamani kila mtu humu ana familia?Bado mie tu?Duh!nifanye nitafute familia
asante kwa kuniwakilisha mpenziwaoh!! happy birthday to you..
from me, my wife and our two daughters!!
HAPPY BIRTHDAY
aaah jaman ubusy huu... nilikua sijaiona hii shem darling wangu!!!! nakuja na zawadi kede kede uko, ntamuachia wifi yako Mafikizolo
Ahhhha shemeji nashukur ila had sasa wifi hajaleta zawad sasa sjui kisha sepa nazo au la
aaah jaman ubusy huu... nilikua sijaiona hii shem darling wangu!!!! nakuja na zawadi kede kede uko, ntamuachia wifi yako Mafikizolo
Haya wee mwanaume izo zawadi umenipa saangapi mbona muongo sana wewe
Ahhhha shemeji nashukur ila had sasa wifi hajaleta zawad sasa sjui kisha sepa nazo au la
Hahaa sijakupata atii...
eeenh kulikua na kajam jana mpenzi, nmeshindwa kufika... leo ntakuja hapo nkitoka kibaruani!!! na we ulisema unataka nini vile
Kwa niaba ya mume wangu Ntuzu na wanangu janeth1 na romantic eyes nakutakia maisha marefu yenye baraka mamaafacebook
Love you mamiii....
Thanx douta...umeadimika kweli mwanangu
Ndoa mumy mkweo yuko likizo hivo muda mwingi nashinda nae sipati kachance ka kuja mitaa hii..mpe hi dady....
Usijali zimefika..msalimie mkwe jana nilikutana nae mahali
asante kwa kuniwakilisha mpenzi
love you morei love you...