Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,228
- 13,448
Haya bwana Nyamayao...ila kwa maelezo yako...kuna mtu ana kesi ya kujibu...
Hebu basi tusogezee huyo aliyesababisha matatizo at 30-11 (19) ili tuhangaike naye....It was too early kupigwa chini juu pakavimba at that age....!!!
Halafu haya mambo ndiyo kila siku nawashauri wajukuu zangu....Eti binti anakimbilia kuolewa before 25???
Sifagilii hata kidogo...Inabidi kwanza amalizane na kidalipo kabla ya kuanza mikasheshe ya mawifi na gubu la mama mkwe!!
Hongera sana lakini kama umekomaa ingawa wengine tunaona kuwa wewe bado nii kigori.....at 30yrs wenzio bado wana dreams za ajabu ajabu na wanajenga maghorofa yenye floor zaidi ya 100!!!
Babu DC!!
Hahahahaha! Unavunja mbavu zangu mzee mwenzangu. Unataka kuniambia hata yale mabasi ya KAMATA na magari ya FORD hawajawahi kuyaona?? Wamshukuru Mwakyembe labda wataambulia kupanda Treni ya TRC, siku hizi TRL.Hebu muulize snowhite kama anajua cameo cinema ni wapi... Au New Chox LOL
Kiukweli hebu ongea na Mzee Mwanakijiji atufanye premium Members kwenye ile makitu yake. Hapa hawa watoto, sorry wajukuu hawachelewi kutuchungulia wakati tunanyoa naniliu kwa kisu manake wembe unadunda.....
nadhani sipo hapo kabla sijakununia, khaa nachukiaga kweli, yaani mie na kashikashi zote hizi na kunyonyesha watoto wawili na baba yao utaniweka hapo kweli? natamani nikutukane kinyumbani.
Happy birthday mamito, M/Mungu akulinde akuongeze miaka mingi ya furaha....
sweetlady andaa ukumbi kwa ajili ya shughuli ya jioni akikisha umewasilaiana na Erickb52 vinywaji vyote viwepo ukumbine haswa azidishe crate za ndofu hata kama hazimuhusu kwa kipindi hiki za bure atakamata Arushaone vinywaji vikali visikonekane kwa ajili ya kucheua Nicas Mtei andaa gari la kumpeleka mtoto ukumbini
hahah BAK...we wacha tu, tena watoto wangu walishasahau kunyonya zamaniii, sasa hivi namnyonyesha hilo kubwa lao bado naitwa hivyo? nyonyo imefika magotini atiii.
kumbe watoto wapo wengi, lol!hahahahah lol! Nyonyo tamu NY!!! We acha tu.
Kwa hawa jamaa dizaini ya Nyamayao (Nyamayetu) na snowhite, hawakawii kukuuliza kwamba hiyo ndiyo model gani ya Vitz?
Ngoja sasa tujipange kuwalea hawa watoto na wajukuu....
Au mzee mwenzangu tujiengue kiutu uzima.....???
Hawa watoto tunaoshinda nao hapa, wengine hawajafikia hata umri wa kuwa wajukuu...may be vitukuu!!
Babu DC!!
Nyamayao - Kumbe kuwa na Ma-ID kibao inapendezaga? Naona leo umetoka "Real" - Happy B'day