Thanks Pacha.
Ahsante Mdogo.
🙏🙏Inapendeza sana. HBD bi dada
Labda umeshakimbiza age sana, watoto na vijana wao wanafurahia ila sisi age imeenda kila birthday ni kuukaribia mwisho...Nimekuzidi siku 16,
Ila mimi siku hii huwa ni siku ya huzuni kulio furaha
Huku nikijua wazi niko karibu zaidi na mwisho wangu kuliko mwanzo wangu,
kwani kila unavyo ongeza miaka, uko karibu na kifo na siyo uhai kamwe.
Lakini wacha tujipe moyo, tuendelee kuponda maisha, tukibashiri kuwa tutaendelea kuwepo duniani kwa bahatinasibu.
Ila la hakika ni kuondoka na kuiacha dunia tukiwa na mizigo tele ya matendo yetu mazuri na mabaya
Kithirisha matendo mema na punguza matendo mabaya.
Mungu awabariki wato team JUNE chama langu la kati kati ya mwaka.
Thank you Super Villain 💝💝💝😘Happy Birthday to you gal.
Cha msingi ni kushukuru mkuu...Labda umeshakimbiza age sana, watoto na vijana wao wanafurahia ila sisi age imeenda kila birthday ni kuukaribia mwisho...
Ilà Chak, anavyosherehekea mwenye 70 ni tofauti na mwenye 20.Cha msingi ni kushukuru mkuu...
Kuna wengine wanafika mwisho bado wadogo kabisa,vijana nguvu kazi..watoto..
Nafiki la muhimu ni kuwa kila nafsi itaonja mauti.tuzidi kujiombea mwisho mwema
Habari ya asubuhi JF Family.
Mnaendeleaje leo ninafuraha sana jmn kha!sio kwamba nimeongeza mwaka mpya tu..hapana ni kwa sababu nimeongeza mwaka mwingine nikiwa na afya njema na uzima pia.Mungu kwa hii nafasi ya pekee sana kwangu.
Ndani ya uzima na afya, utaweza kwenda popote,kufanya chochote,kupigana na chochote na mengineyo mengi
Kwa team Gemini na kwa wote walizaliwa June, happy birthday to us
With
Happy birthday, nimekuzidi siku kadhaaa,Habari ya asubuhi JF Family.
Mnaendeleaje leo ninafuraha sana jmn kha!sio kwamba nimeongeza mwaka mpya tu..hapana ni kwa sababu nimeongeza mwaka mwingine nikiwa na afya njema na uzima pia.Mungu kwa hii nafasi ya pekee sana kwangu.
Ndani ya uzima na afya, utaweza kwenda popote,kufanya chochote,kupigana na chochote na mengineyo mengi
Kwa team Gemini na kwa wote walizaliwa June, happy birthday to us
With