Happy birthday Tata Madiba

Happy birthday Tata Madiba

Ngambo Ngali

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2009
Posts
3,517
Reaction score
1,366
Need we say more, May the almighty God grace you with so many years so that all of us know what you stood for and what you cherised.

We pray to God that you live more years in good health to mentor us on how the world should be.

GET WELL SOON TATA AND LOTS OF BIRTHDAY WISHES
 
Hapy birthday our Tata Madiba...habybrthday to all blacks n soweto en south afrca at all lets 4get abt soweto n sharpvle masacre bt lets SA gvt they hv to make sure dat all south afrcan can beneft de state welth..again hapybrtday Tata Madiba
 
The ant-aparhteid icon,the hero Madiba live longer

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Leo mzee Madiba anapotimiza miaka 95 lazima tumpongeze na kujifunza kuwa binadamu tuna mapito mengi ambayo inabidi tuyakabili! HAPPY BIRTHDAY MZEE MADIBA
 
Najua hili rafiki lakini Mwenyezi Mungu mkubwa. Jana nilikuwa namsikia binti yake akisema kwamba anaendelea vizuri sana kiasi ambacho wanadhani anaweza kuruhusiwa kurudi nyumbani, hivyo huwezi jua ila ukweli amechoka sana.

naona humtakii mema babu yangu.....
si unajua mimi orijinale ni wa kule?
amechoka sana.... anastahili kupumzika kwa amani
 
Najua hili rafiki lakini Mwenyezi Mungu mkubwa. Jana nilikuwa namsikia binti yake akisema kwamba anaendelea vizuri sana kiasi ambacho wanadhani anaweza kuruhusiwa kurudi nyumbani, hivyo huwezi jua ila ukweli amechoka sana.
Tuendelee tu kumwombea, Mungu anaweza tenda miujiza.
Akipona na kuanza kutembea tena..... hata miaka 150 afike tu, ila kwa hali ya hapa juzi kati, mm mm
 
Haaaappppyyyy birth day madiba. I love you so much - you sacrificed your life for the liberation of your country. You redeemed both blacks, whites and coloured. Mabiba, you inspire me and all my 7 billion colleagues inhabiting this blue planet earth. I pray for a quick recovery. I'm concluding by saying that i love you so much madiba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom