Mkuu nyimbo za ile Ulbum au kama unaweza kunisaidia namna ya kuzipataOld skull boy
hahaha umenikumbusha hii interview huwa inanifurahishaga sanaMoja ya interview zake NIKKI MBONA huleti nyimbo zako kwenye media?
Jibu.
Kwani Lil wayne alishakuletea nyimbo yake
Haongeagi pumba kama Diamond na wenzakehahaha umenikumbusha hii interview huwa inanifurahishaga sana
alisema eti top 20 ya hits za bongo unakuta chris brown naye yumo halafu watu wa media hawachezi nyimbo zetu za hip hop ukiwauliza wanakuambia hujawahi kuleta kazi zako...lini chris brown alifunga safari kuwaletea album yake muicheze hapo studion kwenu?
Hakuna kama nikki mbishi kwenye upande wa interview yani kuna wakati unaona sasa mtangazaji ndio kama anafanyiwa interview, jamaa ana hoja nzito fatilia ile interview ya kikosi kazi ina lisaa limoja mwishoni mtangazaji alikiri kwamba katika career yake hiyo ndio interview yake bora kuliko zote
Weka audio ili tusikie hizo panchi hapa ni tunasomaMskie dizasta
Fuvu limeshiba mautundu kwenye kichwa, Niko UNDERGROUND na huku ndio mitutu inakofichwa.../
Mskize nala
Huvumi kwa UJUZI, unachana nini zaidi ya uhuni na ushuzi.../
Ukiona nakichunia nawe chuna, utanambia nini amekuinspire YOUNG LUNYA.../
Waskie watema nondo
Nipo tofauti kidogo ukinita CHIPUKIZI umenidhalilisha, ukinita SUPERSTAR umenifananisha.../
Kuwa UNDERGROUND sio kuwa mainstream failure, mc sio kuwa husle cause husle is for the failure.../
Halafu niambie umejifunza nini
Nipe link Mkuu wa huo wimbo ,jamaa namkubali sana na flow zake na pia bar zake za sala KK nikubali......Kuna wimbo anasema anazichanga ki hushpappyMoja ya bars zake
Fungu la kupata, ndio la unju mazafaka.../
La kukosa la mazuzu zumbukuku wanafyata.../
Mgambo wanaruka na kukanyagana, mzuka kama unabana.../
mwana shuta au acha danadana.../
Msiniulize wimbo gani
Mfalme wa hiphop ya Mara,bydaway jamaa anajua kiaina unjuneer.Huyu sio mfalme wa Hip hop
Au wenzangu mnasemaje?
Excuse me miss,can we dance to the music miss,unajua we ni bonge la beautiful chick,ofcourse una juicy lips.Anaimba huyu kaka
Hakunaga kama nyakati za mashakaSiku kama ya Leo miaka kadhaa uko nyuma alizaliwa mfalme wa HIP HOP TANZANIA NIKKI MBISHI namtakakia heri katika siku yake hii Mungu ambariki.
Ametamba na VIBAO kama Playboy , Sauti ya Jogoo, PRICELESS, I'M SORRY JK .
LIVE LONG LEGEND.View attachment 1717138
View attachment 1717139
Aisee konda nishushe kituo kinachofuata.Itoshe kusema uyu jamaa ndiyo msanii mwenye IQ kubwa
Na akipewa hiyo show anachemka.Hivyo vibao alivhotamba navyo labda vibao vya mbuzi.
Msanii gani miaka zaidi ya 10 ni underground.
Si ndio huyu aliyekuwa analilia kupewa show?
KabiSAHaongeagi pumba kama Diamond na wenzake
We unamsikiliza nani na naniUmekuja kujianzishia thread humu? Msanii gani huyu analilia show, kwa nyimbo zake amuite Nani? Anasifiwa Hadi na Young lunya show zote kubwakubwa yumo
Wewe Niki ni fwala tu, watakusikiliza hukohuko buza na kwa mpalange
Hip hop usikivu huwezi fuatilia sebeni INFACT nikki unamjua na yeye hakujuiUmekuja kujianzishia thread humu? Msanii gani huyu analilia show, kwa nyimbo zake amuite Nani? Anasifiwa Hadi na Young lunya show zote kubwakubwa yumo
Wewe Niki ni fwala tu, watakusikiliza hukohuko buza na kwa mpalange
Si kweliNdiyo sifa ya HARDCORE hip hop kuwa underground king