Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Hahaha hahahauna nini wewee.......sakayo
Unafika kiroho kimwili upo kwa baba huko nanjilinji
Hahaha hahahauna nini wewee.......sakayo
Hebu mumuwacheeee....Busy anaandaa safari ya mbinguni au?muambie aaache mashauziii
sakayooo...tungelia wote nani angembembeleza mwenziwe sasa...Mimi si nilikua nakupa pole dear...!!!nilipanga nikuliwaze na jf Mara paaap mtandao hakunaaa
Hahaha hahaha hahaha
Una nini lakiniiii.... Mbona hukulia tusaidianee kile kilio lakini




Msinikumbushe kilio nilimnunia mtu mm mpaka tunafika kitandani hatuongei
Khaaa kwani alihusika kwenye uziHebu hukoo
Amelala.. Jana tumekesha tukitunga uzi wako!
Nahisi mngekesha wenyewe!Hahhaha ile siku au sababu tulipania jamaniii
We cheka tuu aki...Hahahaahaha nacheka mm
Kukupongeza na nn etiHebu mumuwacheeee....
Anaandaa uzi wa kunipongeza
Hahhaha na sijui kama ungekuja kutujibuNahisi mngekesha wenyewe!
Hahaha hahaha hahahasakayooo...tungelia wote nani angembembeleza mwenziwe sasa...Mimi si nilikua nakupa pole dear...!!!nilipanga nikuliwaze na jf Mara paaap mtandao hakunaaa
Hivi dada wewe hukutuacha JF?! Wewe ulitupia uzi ukasepa, mimi na babe wangu tukatupia wetu tukabakiHamna lolote acheni usaniiii
Una nini jamaniiHahhaha nakwambia akija we niite
Hahaha hahaha hahahaHahaaa....anajisahaulisha haswaa....anapita kama hatuoni
Bibi wewee...mlikua mnanirusha roho tu hapaii!!!ninyi mlikua mnafarijiana hapa...Mimi hapa sina bebi mnirushe roho kisa...Hivi dada wewe hukutuacha JF?! Wewe ulitupia uzi ukasepa, mimi na babe wangu tukatupia wetu tukabaki









nkaenda kulalaaMsinikumbushe kilio nilimnunia mtu mm mpaka tunafika kitandani hatuongei







