mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,354
- 23,084
Haya cheupeMnune Samantha yule mdoli utampata wa peke yako sawa mshipa wake mtu
Haya cheupeMnune Samantha yule mdoli utampata wa peke yako sawa mshipa wake mtu
Hahaha hahaha hahahaWe bwana unanifukuzia mtu una upole gani na nimetoa angalizo kabisa mwanzo usileft eenh
Atakipata wapii jamani
Dada jamaniAnayetaka ni nani
Dada jamani
Mwambie sinaHahahhah sakayo amesema eti una mikwara sana
urafiki wenye manufaa..
heri ya ukumbusho wa kuzeeka...
Mola aendelee kukupa baraka tele.


Ameen mkuu ubarikiwe
Asante mchuchuHappy Birthday mchuchu zawadi utafata getto

zawadi gani hiyo ya kufata getto
Sisi ni mmoja ujueMbona unamsea au amekutuma?
mambo mengine ntakuja ukapukuni ngoja tuendelee kupokea wishesAsante arch mm ni muhenga ujue
AwwUwe na siku njema ya kuzaliwa Dada yangu kipenzi Allah akusimamie katika siku yako ya leo ya kuzaliwa.
View attachment 978546
Siku zote mimi Penda sana wewe.![]()


Asante dada akee nakupenda pia jamani Mungu azidi kukubariki kwa yote unayofanya mpenzi mm na Sakayo tunakupenda sanaHata mi naona kwaiyo hata nikitongoza mmoja ndo nimetongoza wote sio?Hakuna S bila S