Huyo ndiye Queen wa chit chat, heshima mbeleLe Madame B mhhh hadi huyu umekaba? Mkuu Nguruvi3 hongera ya siku ya kuzaliwa
Mh secretary umeua.The Boss yupo busy na nguo za sikukuu ,Ashadii anahangaikia viungo vya pilau chezea sikukuu weye hii ina shinda hata sabasaba sipati picha na suti yake ya jani la mgomba aliyoipata akiweka na shati la pinki anakuwa kama christmass tree
The Boss yupo busy na nguo za sikukuu ,Ashadii anahangaikia viungo vya pilau chezea sikukuu weye hii ina shinda hata sabasaba sipati picha na suti yake ya jani la mgomba aliyoipata akiweka na shati la pinki anakuwa kama christmass tree
Mh secretary umeua.
Shukran sana nafarijika sana
Katavi, nitafutie wanangu wamenitosa! ha ha ha
Ukipita Naii mwambie DA namsalimia. Hivi una habari za AD kapotea huyu.
Lizzy ni Sagit kanitosa naye.
Mpatie salam the Boss na AshaDii.