Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,302
- 96,517
Watu bwana.....hivi wanaona raha gani kuhack account ya my switie wangu?
Mi naona tubadilishane paswed mai lavu. hii sasa sio tena tuu machı bali ni thrii aprili.
Watu bwana.....hivi wanaona raha gani kuhack account ya my switie wangu?
Umenipendea nini mjukuu wangu!!!
sijui kwanini nakuwaga na wivu mpaka kwa ndugu zangu, hasa Kaizer. yani ni sheedah!!!
Hivi nilikuoa lini vile?
Hongera
Acha wivu wewe twenzetu chobingo tukale utumbo ndizi......
Hahahahaaaa mimi bado ujanioa babu, kama unataka kunioa, nirushie kwanza ela ya engagement ring kwenye simu nikanunue mwenyewe....
We unakula ndizi yangu, mi nakula utumbo wako. Bas sawa... chapchap sana.
We unakula ndizi yangu, mi nakula utumbo wako. Bas sawa... chapchap sana.
Sasa hao wajukuu zangu nani kakupa ruhusa ya kuwafanya wajukuu zako wakati vikojoleo vyetu havijawahi kupeana ushirikiano wa kulengana?
Hongera sana nameless girl
Hongera sana mkuu
Happy birthday nameless girl.
Pamoja mkuuasante mkuu... ubarikiwe...