Happy birthday Minnie💛

Sasa beibi ni mambo Gani ya kuniandikia kizungu Tena ?

Ene way nafurahi sana siku yangu leo 🤗 acha nilewe mama la mama 🥰
Sentensi ya mwisho ukitoa hilo neno mama la mama basi ndugu Dr am 4 real PhD na mimi ingekuwa vyema siku yako ituhusu kwa chochote chenye uwezo wa kulewesha ili tukukabidhi zawadi zetu ,sababu ulijua kutuwazisha sana mwanetu .

Anyway happy birthday rafiki yangu tusiyejuana hata usoni ila naona tukimingle sana ,enjoy the day nigga
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…