Happy Birthday Michelle

Sijachelewa...
michelle.gif
 
Michelle mbona sikuoni mama? happy bithdei my......Mungu akupe miaka mingine 120!!!
 
Michelle wewe ni zawadi, ya maisha duniani,
Kwao wowote weledi, wewe unayo thamani,
Kwazo zako juhudi, na michangi jamvini,

Kwa michango yako bora, daima huna kifani,

Kwa zako tele busara, na mwongozo jamvini,
Michelle wewe ni kinara, nuru yetu jamvini.


Hutupooza machungu, moyoni iwe amani,

Tupatapo maumivu, daima huwa pembeni
Nakuombea kwa Mungu, heri tupu duniani,,


Michelle u rafiki mwema, mwingine hapatikani,
Wajali pasi kupima, wajali bila rehani,

Mola akujaalie, yalo mema duniani,
Baraka akujazie, akujazie pomoni,
Mabaya akwepushie, uwe mwenye amani,

Nakutakia heri ya siku yako ya kuzaliwa.

 
Michelle wewe ni zawadi, ya maisha duniani,
Kwao wowote weledi, wewe unayo thamani,
Kwazo zako juhudi, na michangi jamvini,

Kwa michango yako bora, daima huna kifani,

Kwa zako tele busara, na mwongozo jamvini,
Michelle wewe ni kinara, nuru yetu jamvini.


Hutupooza machungu, moyoni iwe amani,

Tupatapo maumivu, daima huwa pembeni
Nakuombea kwa Mungu, heri tupu duniani,,


Michelle u rafiki mwema, mwingine hapatikani,
Wajali pasi kupima, wajali bila rehani,

Mola akujaalie, yalo mema duniani,
Baraka akujazie, akujazie pomoni,
Mabaya akwepushie, uwe mwenye amani,

Nakutakia heri ya siku yako ya kuzaliwa.


welcome back dude!!!:biggrin1:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom