TabletFellow
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 918
- 272
:dance::dance::dance::dance::dance::dance::dance::dance::dance::dance::dance:
Kamanda... nimeipenda hii ya kumuombea azidi kuchanua...ound:
HB Michelle.....zidi kuchanua....
BTW: Kama kuna biya usinisahau mwaliko.....
Michelle wewe ni zawadi, ya maisha duniani,
Kwao wowote weledi, wewe unayo thamani,
Kwazo zako juhudi, na michangi jamvini,
Kwa michango yako bora, daima huna kifani,
Kwa zako tele busara, na mwongozo jamvini,
Michelle wewe ni kinara, nuru yetu jamvini.
Hutupooza machungu, moyoni iwe amani,
Tupatapo maumivu, daima huwa pembeni
Nakuombea kwa Mungu, heri tupu duniani,,
Michelle u rafiki mwema, mwingine hapatikani,
Wajali pasi kupima, wajali bila rehani,
Mola akujaalie, yalo mema duniani,
Baraka akujazie, akujazie pomoni,
Mabaya akwepushie, uwe mwenye amani,
Nakutakia heri ya siku yako ya kuzaliwa.
welcome back dude!!!:biggrin1: